Ali Mukhwana - Nitumie Lyrics

Album: Watakusema
Released: 18 Oct 2020
iTunes Amazon Music

Lyrics

Nitumie jinsi nilivyo Nitumie Bwana wangu (Jinsi nilivyo) Kama chombo chako Mungu Baba nitumie  Nitumie Bwana wangu  Kama chombo chako Mungu

Siwezi bila wewe Mi si kitu, mi si kitu Mi si kitu bila wewe Bwana nasadiki

Umenipa mataifa uwe urithi wangu Nayo dunia kuwa milki yangu Uhai wangu uko mikononi mwako Nitakulinganisha na nini wee

Nitumie Bwana wangu  Kama chombo chako Mungu Nitumie Bwana wangu  Kama chombo chako Mungu

Najua, mi si kitu Najua, mi si kitu Mimi najua, mi si kitu Mi si kitu bila wewe

Sheria yako moyoni mwangu Kuyafanyanya mapenzi yako Nitumie, nitumie Yesu

Sheria yako moyoni mwangu Kuyafanyanya mapenzi yako Nitumie, nitumie Yesu

Nitumie Bwana wangu  Kama chombo chako Mungu Nitumie Bwana wangu  Kama chombo chako Mungu

Siwezi bwana, mi si kitu Siwezi, mi si kitu Bila wewe, mi si kitu Mi si kitu bila wewe

Bwana ni wewe kinga yangu Ni wewe haki yangu Ni wewe mwamba wangu wa dunia

Bwana ni wewe kinga yangu Ni wewe uhai wangu Ni wewe mwamba wangu wa dunia

Kimbilio langu, wewe Masihi wangu wa karibu ni wewe Mwamba wa dunia ni wewe Tumaini langu ni wewe

Kimbilio langu, wewe Masihi wangu wa karibu ni wewe Mwamba wa dunia ni wewe Tumaini langu ni wewe

Nitumie Bwana wangu  Kama chombo chako Mungu Nitumie Bwana wangu  Kama chombo chako Mungu

Siwezi, mi si kitu Siwezi, mi si kitu Bila wewe, mi si kitu Mi si kitu bila wewe

Nitumie Bwana wangu  Kama chombo chako Mungu Nitumie Bwana wangu  Kama chombo chako Mungu

Najua Bwana, mi si kitu Najua, mi si kitu Bila wewe, mi si kitu Mi si kitu bila wewe

Siwezi bila wewe Yesu Siendi bila wewe Bila wewe mimi sifai Nitumie kama chombo Asante Yesu

Video

Ali Mukhwana | Nitumie (sms SKIZA 5703321 to 811)

Thumbnail for Nitumie video
Loading...
In Queue
View Lyrics