Ali Mukhwana - Nitumie Lyrics
Lyrics
Nitumie jinsi nilivyo Nitumie Bwana wangu (Jinsi nilivyo) Kama chombo chako Mungu Baba nitumie Nitumie Bwana wangu Kama chombo chako Mungu
Siwezi bila wewe Mi si kitu, mi si kitu Mi si kitu bila wewe Bwana nasadiki
Umenipa mataifa uwe urithi wangu Nayo dunia kuwa milki yangu Uhai wangu uko mikononi mwako Nitakulinganisha na nini wee
Nitumie Bwana wangu Kama chombo chako Mungu Nitumie Bwana wangu Kama chombo chako Mungu
Najua, mi si kitu Najua, mi si kitu Mimi najua, mi si kitu Mi si kitu bila wewe
Sheria yako moyoni mwangu Kuyafanyanya mapenzi yako Nitumie, nitumie Yesu
Sheria yako moyoni mwangu Kuyafanyanya mapenzi yako Nitumie, nitumie Yesu
Nitumie Bwana wangu Kama chombo chako Mungu Nitumie Bwana wangu Kama chombo chako Mungu
Siwezi bwana, mi si kitu Siwezi, mi si kitu Bila wewe, mi si kitu Mi si kitu bila wewe
Bwana ni wewe kinga yangu Ni wewe haki yangu Ni wewe mwamba wangu wa dunia
Bwana ni wewe kinga yangu Ni wewe uhai wangu Ni wewe mwamba wangu wa dunia
Kimbilio langu, wewe Masihi wangu wa karibu ni wewe Mwamba wa dunia ni wewe Tumaini langu ni wewe
Kimbilio langu, wewe Masihi wangu wa karibu ni wewe Mwamba wa dunia ni wewe Tumaini langu ni wewe
Nitumie Bwana wangu Kama chombo chako Mungu Nitumie Bwana wangu Kama chombo chako Mungu
Siwezi, mi si kitu Siwezi, mi si kitu Bila wewe, mi si kitu Mi si kitu bila wewe
Nitumie Bwana wangu Kama chombo chako Mungu Nitumie Bwana wangu Kama chombo chako Mungu
Najua Bwana, mi si kitu Najua, mi si kitu Bila wewe, mi si kitu Mi si kitu bila wewe
Siwezi bila wewe Yesu Siendi bila wewe Bila wewe mimi sifai Nitumie kama chombo Asante Yesu
Video
Ali Mukhwana | Nitumie (sms SKIZA 5703321 to 811)