Liko lango moja wazi, ni lango la mbinguni;
Na wote waingiao watapata nafasi.
Yesu ndiye lango hili, hata sasa ni wazi,
Kwa wakubwa na wadogo, tajiri na maskini.
Hili ni lango la raha,ni lango la rehema;
Kila mtu apitaye hana majonzi tena.
Tukipita lango hili tutatua mizigo,
tuliochukua kwanza, tutavikwa uzima.