Joyce Ojowi - Unanitosha Lyrics
Lyrics
Unanitosha, unanitosha Jemedari wangu. mtetezi wangu Unanitosha x2
Nielezeje mungu wangu ikawaje mbingu na dunia Mchana na usiku bahari na nchi kavu Yote ni kazi yako baba maneno ako ni ya uhai Ukisema ni nani wa kupinga nguvu hiyo ya neno Ndio uridhi wangu baba jehova unanitosha
Unanitosha, unanitosha Jemedari wangu. mtetezi wangu Unanitosha x2
Sasa nimekufahamu nimeamini unaweza Kuhifadhi ahadi yako hadi siku ya mwisho Kwa kuwa ufalme ni wako na nguvu na utukufu Sasa hata milele na milele amina
Unanitosha, unanitosha Jemedari wangu. mtetezi wangu Unanitosha x2
Video
Unanitosha - Joyce Ojowi (OFFICIAL VIDEO)