Ben Pol - Kisebusebu Lyrics

Album: B - EP
Released: 27 Jul 2021
iTunes Amazon Music

Lyrics

Kisebusebu wee, kisebusebu wee Kisebusebu wee Kisebusebu wee, kisebusebu wee Kisebusebu wee

Mwenzio roho yangu Ilianza kutakata kwako wee Na we ndo mboni yangu Na ndo kibanda nilijificha kwako wee

Unawaza ni? Kwanini? Mbona wee hueleweki Mara juu mara chini Kwani tatizo ni nini?

Ndo maana kwenu hukunipeleka Ulisita sita Na nishatangaza ndoa Ila bado nina mapicha picha

Ndo maana kwenu hukunipeleka Ulisita sita Na nishatangaza ndoa Ila bado nina mapicha picha

Mara nataka ndoa nawe Mara sitaki nimeghairi Mara nataka tuoane Mara ngoja kwanza subiri

Mara nataka ndoa nawe Mara sitaki nimeghairi Mara nataka tuoane Mara ngoja kwanza subiri

Kisebusebu wee, kisebusebu wee Kisebusebu wee Kisebusebu wee, kisebusebu wee Kisebusebu wee

Kukuhesabu mema yangu wee  Kwako ni bure Pengine sijui mapenzi  Labda nitafute shule Unaniongezea mastress na bado nitafute tule Sometimes nawaza hivi ni chumba au msukule

Uko sawa na malaika aliimba Nyashinski Sometimes uko Online na simu zangu bado hushiki Sim sim za kiroho babu utanitoa roho japo Sisemi kitu kwako, wakati nadumisha mapenzi unanitoa jasho

Nimekumeet sikuelewi Ama unanipenda nikuvumilie Unanichanganya sikuelewi Mara unataka tuachane 

Mara nataka ndoa nawe Mara sitaki nimeghairi Mara nataka tuoane Mara ngoja kwanza subiri

Mara nataka ndoa nawe Mara sitaki nimeghairi Mara nataka tuoane Mara ngoja kwanza subiri

Kisebusebu wee, kisebusebu wee Kisebusebu wee Kisebusebu wee, kisebusebu wee Kisebusebu wee

Mara nataka ndoa nawe Mara sitaki nimeghairi Mara nataka tuoane Mara ngoja kwanza subiri

Video

Ben Pol - KISEBUSEBU ft. Billnass (Official Audio)

Thumbnail for Kisebusebu video
Loading...
In Queue
View Lyrics