MSALABANI Lyrics - Neema Gospel Choir

Neema Gospel Choir swahili

Chorus:
Msalabani pa Mwokozi,
wapatikaana ukombozi.
Ni kazi ya thamani yake Yesu
Msalabani pa Mwokozi

MSALABANI Video

Buy/Download Audio

MSALABANI Lyrics

Msalabani pa Mwokozi,
wapatikaana ukombozi.
Ni kazi ya thamani yake Yesu
 Msalabani pa Mwokozi

Msalabani pa Mwokozi,
wapatikaana ukombozi.
Ni kazi ya thamani yake Yesu
 Msalabani pa Mwokozi

Tumesamehewa dhambi hatuna deni,
Amelipa yote Bwana hatuna deni ,
Ni kazi ya thamani yake Yesu
Msalabani pa mwokozi

Unyenyekevu uvumilivu na upendo
Huruma nyingi na fadhili kwetu
Ni sifa za thamani zake Yesu
Msalabani pa mwokozi

Tumesamehewa dhambi hatuna deni,
Amelipwa yote Bwana hatuna deni,

Ni kazi ya thamani yake Yesu,
Msalabani pa mwokozi.