Neema Gospel Choir - HAZINA Lyrics

Contents: Song Information
  • Song Title: Hazina Yangu
  • Album: The Sound of Ahsante
  • Artist: Neema Gospel Choir
  • Released On: 11 Oct 2021
  • Download/Stream: iTunes Music Amazon Music
Neema Gospel Choir HAZINA

HAZINA Lyrics

Nimewekeza hazina yangu juu mbinguni, 
Nimewekeza kwa Mungu wangu. 
Nimeyatoa maisha yangu niwe dhabihu, 
Nimejitoa kwa Mungu wangu.

Mambo ya dunia ni ya kitambo tu, 
Ya haribika Tena yapita.
Hakita bakia kitu kwa dunia,
Vya haribika tena vya pita.

Nimewekeza hazina yangu juu mbinguni, 
Nimewekeza kwa Mungu wangu. 
Nimeyatoa maisha yangu niwe dhabihu, 
Nimejitoa kwa Mungu wangu.

Mimi nita-jisifia nini cha ulimwengu,
Hata kifanye nimkosee Mungu.
Vyote ni kwa mapenzi ya Mungu,
Si kwa nguvu zangu.. 
Nataka nifae mbele za Mungu .

Kwake Mungu hakuna nondo madumadu na parare, 
Mimi nataka nifae mbele za Mungu.
Huko iliko hazina yangu, Ndiko uliko moyo wangu, 
Mimi nataka nifae mbele za Mungu.

Wekeni hazina mbinguni, 
Haita pungua akiba yenu Mbinguni kwa Baba
Jifanyieni mifuko, isiyo chakaa kabisa,
Mbinguni kwa Baba.


HAZINA Video

HAZINA Lyrics -  Neema Gospel Choir

Neema Gospel Choir Songs

Related Songs