Neema Gospel Choir - UNIREHEMU Lyrics
- Song Title: Unirehemu
- Album: The Sound of Ahsante
- Artist: Neema Gospel Choir
- Released On: 11 Oct 2021
- Download/Stream: iTunes Music Amazon Music

Unirehemu Mungu unirehemu,
Mimi Bwana MUNGU wangu naja,
Maana nafsi yangu imekukimbilia wewe Bwana,
Nafsi yangu ikatikati ya Simba
Wanadamu meno yao ni mikuki na mishale. .
Na ndimi zao ni upanga mkali peke yangu mimi siwezi.
wameweka wavu iii kuninasa. .
Nafsi yangu imeinama
Wamechimba shimo mbele yangu, wametumbukia ndani yake.
(Bwana uniumbie moyo safi
iii ni-kutumikie )
Bwana uniumbie moyo safi
Ili ni-kutumikie
Nimekukimbilia wewe Bwana wangu,
Ili nisiahibike milele, kwa haki yako uniponye uniokoe.
Uwe kwangu mwamba wa makazi yangu,
Uwe kwangu baba yangu, niumbie moyo safi
Nakuhitaji
Bwana Yesu maishani mwangu.
Niumbie moyo safi, Ili nitembee katika kweli yako
Hii ndo haja ya moyo wangu Bwana unisikie,
Niumbie moyo safi, niko mbele zako Bwana ninakuomba
Bwana uniumbie Moyo safi
Bwana uniumbie moyo safi,
Ili nikutumikie
Walinizunguka, naam walinizunguka, watesi wangu.
Lakini kwa jina la Yesu, naliwakatilia mbali.
Yesu wewe unaweza
Yesu wewe unatosha,
Watumishi wako wote.
Utawalinda na kuwatunza.