Ruth Wamuyu - Umeinuliwa Juu Lyrics

Lyrics

Umeinuliwa juu umeinuliwa Juu 

Umeinuliwa umeinuliwa 

Umeinuliwa Juu 


Umeinuliwa juu umeinuliwa Juu 

Umeinuliwa umeinuliwa 

Umeinuliwa Juu 


Kama yule nyoka wa shaba alivyoinuliwa 

Msalabani ukainuliwa juu ya ngome na mamlaka 

Wote wanakutazama wanapata tumaini 

Tunakuinuwa Bwana umeinuliwa juu 


Umeinuliwa juu umeinuliwa Juu 

(Juu ya falme zote)

Umeinuliwa umeinuliwa 

(Juu ya magonjwa )

Umeinuliwa Juu 

(Juu ya shida zetu)

Umeinuliwa umeinuliwa 

(Juu ya fahamu za wanadamu)

Umeinuliwa Juu 


Kumbbukeni mwizi msalabani aliomba 

Eh Yesu unikumbuke utakapofika paradiso 

Akatubebea huzuni mateso hata magonjwa yetu 

Juu ya falme na mamlaka umeinuliwa juu 


Umeinuliwa juu umeinuliwa Juu 

Umeinuliwa umeinuliwa 

Umeinuliwa Juu 

Umeinuliwa umeinuliwa 

Umeinuliwa Juu 


Niketi nawe katika mkono wa kulia 

Pamoja naye Baba yangu na roho mtakatifu 

Naungana na makerubi na maserafi 

Nikisema uinuliwe uhimidiwe 

Uliyenilipia garama yote 


Umeinuliwa juu umeinuliwa Juu 

Umeinuliwa umeinuliwa 

Umeinuliwa Juu 

Umeinuliwa umeinuliwa 

Umeinuliwa Juu 


Zaidi ya wafalme 

Zaidi ya miungu yote 

Umetukuka umeheshimika 

Eh Mungu umeinuliwa 

Nami leo nakuinuwa 

Nainua mikono yangu 

Ndio maana nakuimbia eeh 

Umeinuliwa Juu 


Umeinuliwa juu umeinuliwa Juu 

Umeinuliwa umeinuliwa 

Umeinuliwa Juu 

Umeinuliwa umeinuliwa 

Umeinuliwa Juu 

Umeinuliwa umeinuliwa 

Umeinuliwa Juu 


Umeinuliwa juu umeinuliwa Juu 

Umeinuliwa umeinuliwa 

Umeinuliwa Juu 

Umeinuliwa umeinuliwa 

Umeinuliwa Juu 

Umeinuliwa umeinuliwa 

Umeinuliwa Juu 

Video

Ruth Wamuyu - Umeinuliwa Juu (Official Video) [Skiza: 71112449]

Thumbnail for Umeinuliwa Juu video

Meaning & Inspiration

Kama yule nyoka, the bronze serpent lifted in the wilderness to stop the poison from killing the people—that’s a strange image to keep in my head while singing. I don't know, is it right to compare that to the cross? Maybe, because looking up is the only way to stop the venom. It's weird how I find myself fixated on the way the temple curtain tore, exposing everything, yet here I am just repeating lines about being lifted high. Umeinuliwa juu, I keep saying it, but does the height matter if I'm still stuck down here worrying about the rent? Actually, wait, if the thief on the cross found a way to ask for entry into a kingdom while his lungs were collapsing, maybe the repetition in this song is just a desperate reach for air. I keep thinking about the sheer audacity of claiming that stuff is beneath His feet when the world feels like it's pushing me into the dirt. Is it really lifted above the illness? I guess I have to believe the weight of the cross was enough to carry that, even when my own back is breaking.

Maybe it's true.

My knees are sore from standing too long, and I'm wondering if the angels actually hear this or if they're just watching me struggle to grasp a God who is supposed to be way above the mess but somehow inside it too?

Loading...
In Queue
View Lyrics