Burton King - UMENIHIFADHI Lyrics

UMENIHIFADHI Lyrics

Umenihifadhi katikati ya jangwa Ee mungu
Sifanani na yale nimepitia nashukuru
Hukiniacha nijaribiwe umenenihifadhi nashukuru
Hukiniacha nijaribiwe umenenihifadhi nashukuru

Safari hii imekuwa ndefu 
Mapito haya yamekuwa makali
Ni wewe tu unaelewa
Ni wewe tu unajua

Kuna wakati moyo ulifuja damu sana
Nikachoka nikalia sana
Marafiki nao wakanitoroka 
Nikakosa dhamana machoni pangu  
Kumbe wewe ni rafiki wa karibu Yesu wee
Kumbe wewe uliona yote niliyoyapitia 

Umenihifadhi katikati ya jangwa Ee mungu
Sifanani na yale nimepitia nashukuru
Umenihifadhi katikati ya jangwa Ee mungu
Sifanani na yale nimepitia nashukuru

Hukiniacha nijaribiwe umenenihifadhi nashukuru
Hukiniacha nijaribiwe umenenihifadhi nashukuru
Hukiniacha nijaribiwe umenenihifadhi nashukuru
Hukiniacha nijaribiwe umenenihifadhi nashukuru


UMENIHIFADHI Video

Burton King Songs

Related Songs