Burton King - UMENIHIFADHI Lyrics

Lyrics

Umenihifadhi katikati ya jangwa Ee mungu

Sifanani na yale nimepitia nashukuru

Hukiniacha nijaribiwe umenenihifadhi nashukuru

Hukiniacha nijaribiwe umenenihifadhi nashukuru


Safari hii imekuwa ndefu 

Mapito haya yamekuwa makali

Ni wewe tu unaelewa

Ni wewe tu unajua


Kuna wakati moyo ulifuja damu sana

Nikachoka nikalia sana

Marafiki nao wakanitoroka 

Nikakosa dhamana machoni pangu  

Kumbe wewe ni rafiki wa karibu Yesu wee

Kumbe wewe uliona yote niliyoyapitia 


Umenihifadhi katikati ya jangwa Ee mungu

Sifanani na yale nimepitia nashukuru

Umenihifadhi katikati ya jangwa Ee mungu

Sifanani na yale nimepitia nashukuru


Hukiniacha nijaribiwe umenenihifadhi nashukuru

Hukiniacha nijaribiwe umenenihifadhi nashukuru

Hukiniacha nijaribiwe umenenihifadhi nashukuru

Hukiniacha nijaribiwe umenenihifadhi nashukuru

Video

UMENIHIFADHI - BURTON KING OFFICIAL VIDEO

Thumbnail for UMENIHIFADHI video
Loading...
In Queue
View Lyrics