Kambua - Ametenda Zaidi Lyrics

Lyrics

Toka mwanzo nilijua Mungu atafanya 

Sababu najua hashindwa 

Ila nilidhani Mungu atafanya 

Sawa sawa na mawazo yangu 

Kumbe ninavyowaza ni tofauti na vile 

Mungu anavyoniwazia mimi 

Leo amenishangaza Bwana 

Amefanya zaidi ya nilivyowaza 


Baraka kanipa zaidi ya nilivyo omba

Amenipa kicheko 

Watoto amenipa zaidi ya nilivyo omba 

Amenipa kicheko 

Afya kanipa zaidi ya nilivyo omba

Amenipa kicheko 


Ametenda zaidi ya nilvyo omba 

Bwana amenipa kicheko 

Ametenda zaidi ya mawazo yangu 

Bwana amenipa kicheko


Baraka kanipa zaidi ya nilivyo omba

Amenipa kicheko 

Watoto amenipa zaidi ya nilivyo omba 

Amenipa kicheko 

Afya kanipa zaidi ya nilivyo omba

Amenipa kicheko 


Anasema anajua ninachohitaji 

Hata kabla sijaomba 

Kuna vitu ninadahni sihitaji 

Ila yeye anajua ninahitaji 

Nikiomba mkate aninipa na maji 

Anajua nitapata kiu 


Mahitaji yangu leo uuu 

Mahitaji yangu e

Nisiyoyajua yeye anayajua 

Hata kama ni mambo madogo tu

Leo amenishangaza Bwana 

Amefanya zaidi ya nilivyo waza  


Ametenda zaidi ya nilvyo omba 

Bwana amenipa kicheko 

Ametenda zaidi ya mawazo yangu 

Bwana amenipa kicheko

Ametenda zaidi ya akili yangu 

Bwana amenipa kicheko


Video

Kambua - Ametenda Zaidi (Official Music Video) SKIZA 9514150

Thumbnail for Ametenda Zaidi video
Loading...
In Queue
View Lyrics