Ben Pol - Unaita Lyrics

Contents: Song Information
Ben Pol Unaita

Unaita Lyrics

Kama inakera kumpenda huyu ka cinderella
Kamezeni mnazi au mapera
Bora nife au niende jela

Kwenye hili penzi najibwaga
Kama unanuna kula mawe
Tunaelewana kina dada
Au niongee kisa nawe

I say baby unaita
Sweety unaita
Say baby unaita
Ah sweety unaita

Kwa tabasamu lako unaita
Hata ukinuna unaita
Yako maujuzi unaita
Aah baby unaita

Kwa tabasamu lako unaita
Hata ukinuna unaita
Yako maujuzi unaita
Aah baby unaita

Alafu mi naona 
Ulivyonipa nimekolea
Ugonjwa nishapona 
Hadi utamu umeninogea

Ulivyonipa tu cha kwanza cha kwanza
Huo mziki faganza faganza
Sijakaa vizuri nakandwa nakandwa
Naicheza bakanja bakanjaa

I say baby unaita
Sweety unaita
Say baby unaita
Ah sweety unaita

Kwa tabasamu lako unaita
Hata ukinuna unaita
Yako maujuzi unaita
Aah baby unaita

Kwa tabasamu lako unaita
Hata ukinuna unaita
Yako maujuzi unaita
Aah baby unaita

Say whine segeju segejua
Kata tena chekechua
Kwa yako maujuzi utaniua
Ah segeju segejua

Say whine segeju segejua
Kata tena chekechua
Kwa yako maujuzi utaniua
Ah segeju segejua ayee
 


Unaita Video

Ben Pol Songs

Related Songs