Ben Pol - Unaita Lyrics
Lyrics
Kama inakera kumpenda huyu ka cinderella Kamezeni mnazi au mapera Bora nife au niende jela
Kwenye hili penzi najibwaga Kama unanuna kula mawe Tunaelewana kina dada Au niongee kisa nawe
I say baby unaita Sweety unaita Say baby unaita Ah sweety unaita
Kwa tabasamu lako unaita Hata ukinuna unaita Yako maujuzi unaita Aah baby unaita
Kwa tabasamu lako unaita Hata ukinuna unaita Yako maujuzi unaita Aah baby unaita
Alafu mi naona Ulivyonipa nimekolea Ugonjwa nishapona Hadi utamu umeninogea
Ulivyonipa tu cha kwanza cha kwanza Huo mziki faganza faganza Sijakaa vizuri nakandwa nakandwa Naicheza bakanja bakanjaa
I say baby unaita Sweety unaita Say baby unaita Ah sweety unaita
Kwa tabasamu lako unaita Hata ukinuna unaita Yako maujuzi unaita Aah baby unaita
Kwa tabasamu lako unaita Hata ukinuna unaita Yako maujuzi unaita Aah baby unaita
Say whine segeju segejua Kata tena chekechua Kwa yako maujuzi utaniua Ah segeju segejua
Say whine segeju segejua Kata tena chekechua Kwa yako maujuzi utaniua Ah segeju segejua ayee
Video
Ben Pol - UNAITA (Official Audio)