Sifaeli Mwabuka - Washangaze wajue Lyrics
Lyrics
Walijua nitabaki Kama nilivyo Walidhani sitoweza kusimama Tena (x2)
Yalikua Ni maneno yyao hao wanadamu Ilikua Ni mipango yao hao wanadamu Yalikua Ni maneno yao hao wanadamu Yalikua Ni mipango yao hao wanadamu
Kuongea kwangu Wao wakanihukumu Ile vaa yangu Wao wakanihukumu Na Ile tembea yangu Wao wakanihukumu Makosa yangu Ni Kweli Wao wakanihukumu (X2)
Hawakujua wewe Ni Mungu wa rehema Hawakujua umekalia kiti Cha Rehema (x2) Washangaze wajue eeeee Washangaze wajue unayejibu
Washangaze wajue Washangaze wajue adui zetu Washangaze wajue Waliosema hatuezi Wajue upo Mungu wetu Wajue wewe tunaye Kuabudu
Wanadamu kumbe ndivyo walivyo Ukikosea Jambo hawawezi kukuombea
Ni ukweli Hawajui mipango yako Ni ukweli Hawajui mawazo yako Washangaze wajue mipango yako Mungu Washangaze wajue Baba Yahweh washangaze wajue
Washangaze wajue eeeee Washangaze wajue Washangaze wajue adui zetu Washangaze wajue Waliosema hatuezi Wajue upo Mungu wetu Wajue wewe tunaye Kuabudu
Video
WASHANGAZE WAJUE BY SIFAELI MWABUKA (OFFICIAL VIDEO) 2020.INJILI.SKIZA CODE 5323328