Mungu wangu Mungu wangu
Mungu wa mbinguni
Nisaidie Baba nimalize safari .
Mungu wangu Mungu wangu
Mungu wa mbinguni
Nisaidie Baba nimalize safari .
Safari yangu safari yangu
Safari yangu, Safari yangu
Safari yangu imejawa misukosuko
Safari yangu imejawa masimango
Safari yangu imajawa makwazo
Safari yangu imejawa majaribu
Pekee yangu mimi siwezi
Pekee yangu siwezi kwenda Baba .
Mungu wangu Mungu wangu
Mungu wa mbinguni
Nisaidie Baba nimalize safari .
Wewe ni niko ambaye niko Baba
Wewe ni mwanzo tena wewe ni mwisho
Wewe ni alpha na Omega
Umesema tukuite nawee utaitika Baba
Tuko tuko hapa Baba
Twahitaji uponyaji wako, twahitaji baraka zao
Twahitaji ulinzi wako, twahitaji uguso wako Baba
Twahitaji uwepo wako .
Mungu wangu Mungu wangu
Mungu wa mbinguni
Nisaidie Baba nimalize safari
Write a review/comment/correct the lyrics of Safari Yangu:
No verses added for this song, suggest a verse to be included in the comments section