Nakuinulia mikono nasema asante
Nakuinulia mikono nanajitoa kwako
Bwana nakuinulia mikono nasema asante
Nakuinulia mikono nanajitoa kwako
Nakuinulia mikono nasema asante
Nakuinulia mikono nanajitoa kwako
Yesu unipendaye kwako nakimbilia
Ni wewe unitoshaye mwovu akinijia
Yafiche ubavuni mwako maisha yangu
Nifikishe mbinguni uinue moyo wangu
Na na na
Nakuinulia mikono nasema asante
Nakuinulia mikono nanajitoa kwako
Nakuinulia mikono nasema asante
Nakuinulia mikono nanajitoa kw