Nisijione mkamilifu kwa nguvu yangu
Nitaweza pekee yangu
Nisiamini hekima yangu
Juhudi zangu, nikutazamie Mungu
Watakao nisikia wakinishangilia,
Niwaelekeze kwako ooh
Watakaonifuata nikikufuata, tuje kwako
Na chochote kile itaenda sawa
Sio mimi ni wewe ujulikane
Na popote pale nitaenda baba
Sio mimi ni wewe ujulikane
Ujulikane ujulikane
Ewe Yesu ujulikane
Ujulikane ujulikane
Ewe Yesu ujulikane
Kwa maneno yangu tena matendo yangu
Kama vile maji ifunikavyo bahari
Natamani wewe ujulikane
Uokoe waliofungwa,uponye waliozidiwa
Uinue waliolemewa aah
Hakuna usichokiweza Baba aah
chochote kitaenda sawa
Sio mimi ni wewe ujulikane
Na popote pale nitaenda baba
Sio mimi ni wewe ujulikane
Ujulikane ujulikane
Ewe Yesu ujulikane
Ujulikane ujulikane
Ewe Yesu ujulikane
Uokoe waliofungwa,uponye waliozidiwa
Uinue waliolemewa aah
Ujulikane ujulikane
Ewe Yesu ujulikane
Ujulikane ujulikane
Ewe Yesu ujulikane
Write a review/comment/correct the lyrics of Ujulikane :
Lyrics has missing words from verse two 2 years ago
Not unto us, O Jehovah, not unto us, But unto thy name give glory, For thy lovingkindness, and for thy truth's sake.
Oh give thanks unto Jehovah, call upon his name; Make known among the peoples his doings.