Sifa Lyrics

Uheshimiwe Baba - Nikupe Mungu Nini by Pst. Emmanuel Ushindi cover art

Pst. Emmanuel Ushindi - Uheshimiwe Baba - Nikupe Mungu Nini Lyrics

Artist:
Pst. Emmanuel Ushindi

Lyrics

Nikupe Mungu nini?


Nifanye kazi gani?


Wala niseme Neno gani


Nipate Kimbali Mbele Yako


Unitaje Kati Ya Wale Watatu


Unao Jivunia, Washikao Mbedera Yako


Ili Wakuheshimishe, 


Juu Mimi Nimegundua Siri,


Yesu Uko Mali Yangu,


Uko Nguvu Zangu, Na Heshima Yangu


Shuhuda Yako Ni Urithi Wangu


Tena Changamko Ya Moyo Wangu


Ulimwengu muniruhusu Eeeh 


Uhechimiwe Baba


Uheshimiwe Baba, Uheshimiwe Baba 


Uheshimiwe Eeh, uheshimiwe Baba


Heshima yako Baba inayo wivu sana 


Kama vile mwanaume aweka wivu ju ya mke wake 


Ilimshtua Samweli kuona Isreali inaomba mfalme 


Ijapo wana Mungu wa Kweli, Samweli akaogopa 


Alimtuma Nebukadineza, anasukumwa ndani ya mwitu 


Akale majani kama mnyama, sababu alikusahau 


Mfalme moja akalewa, kamata vyombo vya hekalu vitakatidu 


Akavinyeshweya makahaba, kumbe Mungu una wivu 


Message ikatoka mbinguni, ikaandika 


"mene mene tekel upharsin", Ufalme wako umepimwa 


Ona unapewa wengine 


Hasira zako zilitumia Herodi, alipokamata Petro 


akataka mchinga akamuue, akatumia tena kukamata pepo 


Hapo malaika akatoka mbinguni... 


Herodi alipoamka, akakute Petro amekwenda 


Asikari wakashindwa, akasema muandae mkutano 


Aliposema maneno kama mfalme, watu wakapiga mkono 


Wakasema Herode si wewe, lakini sauti yako ni kama Munguu 


Mungu mbinguni akasirika, Herodi tumbo zikatoboka akafa hivo...


Uabudiwe Baba, uabudiwe Baba 


Uabudiwe Baba eeh


Uheshimiwe Baba, Uheshimiwe Baba 


Uheshimiwe Eeh, uheshimiwe Baba 


Najijua kama kabinti, mwanaume hawezi kuniponyoka 


Mabembelenzi ya delila ilimsukuma Samsoni kutoa siri 


Na mimi sitatoka bila Yesu siendi fasi kama siko nawe 


Hata nikilala kitandani nisipokuona Yesu mpaka nitaamuka 


Nitawaambia walinzi wa mji, nitafutieni Yesu mpaka nimshike 


Ahadi zako zanichumbia, maneno yako lasukuma nikupende 


Uko mtamu kwangu unaninogea sana, niende wapi bila wewe? 


Ona mi nalewa sasa, nalewa furaha yako Baba 


Eeeh haleluya ooh haleluya 


Unanilewesha Bwana, unanilewesha sana 


Unanilewesha eeh, Unanilewesha Bwana 


Unanilewesha Bwana, unanilewesha sana 


Unanilewesha eeh, Unanilewesha Bwana


Video