Essence of Worship - Rafiki Mwema Lyrics
- Song Title: Rafiki Mwema
- Album: Shangilia
- Artist: Essence of Worship
- Released On: 15 May 2022
- Download/Stream: iTunes Music Amazon Music
Yesu rafiki mwema
Yesu rafiki mwema
Yesu rafiki mwema
Yesu rafiki mwema
Yesu rafiki mwema
Yesu rafiki mwema
Yesu rafiki mwema
Hapana rafiki aliye mwema kama yesu
Hapana rafiki aliye mwema kama yesu
Hapana rafiki aliye mwema kama yeye ye yesu
Hapana rafiki aliye mwema kama yesu
yesu ni rafiki wa kweli tena ni mwaminifu bwana
ni wa haki siku sote
yesu ni rafiki wa kweli tena ni mwaminifu bwana
ni wa haki siku sote
huyu ni yesu
yeye anatupenda, anatujali,anatuponya ni mwaminifu
ni wa haki
uu uu
Ee ee
nimetambua kuwa sina rafiki mwengine kama yesu
aa aa
na ata angekuwepo hangefikia uamaninifu wako
oo oo
umenichagua mimi nisiyestahili aa
umeniheshimisha umeniketisha na wakuu waone
kwako napata vyote amani tele furaha ya milele
hakuna rafiki kama yesu oo yeye ye
kwako napata vyote amani tele furaha ya milele
hakuna rafiki kama yesu oo yeye ye
Ee Yesu
ninakupenda oo Yesu
ee Yesu
sina mwengine
wa kutosheleza
ee Yesu
Ee Yesu
ninakupenda oo Yesu
ee Yesu
rafiki mwema
wa kutosheleza
ee Yesu
Ee Yesu
ninakupenda oo Yesu
ee Yesu
sina mwengine
wa kutosheleza
ee Yesu
Ee Yesu
ninakupenda oo Yesu
ee Yesu
wa kutosheleza
ee Yesu
sijaona rafiki kama yesu
maishani mwangu
yeye ni mpenzi wa kweli
yeye ni rafiki wa kweli
ananipenda bila gharama
ananijali bila gharama
ananikumbatia
ananifariji daima
yeye ni rafiki wa kweli
yeye ni baba wa wababa
yeye ni baba wa wachane
yeye ni mume
yeye ni baba anaweza
anaokoa,anafariji,anaponya
Ee Yesu
ninakupenda oo Yesu
ee Yesu
sina mwengine
wa kutosheleza
ee Yesu
Ee Yesu
ninakupenda oo Yesu
ee Yesu
sina mwengine
wa kutosheleza
ee Yesu
nakushukuru mungu sababu ya upendo wako
ulinipenda sana nikiwa bado adui wako
na nilikuwa bado sishiki neno lako
na ukanipenda kutoa uhai wako
Adhabu ya mauti yangu ilikuwa juu yako
tena kupata mateso mengi na masumbuko
Najua huzuni nyingi uyauaye sikitiko
Kisa na maana nifanyike mwana wako Yesu
Umenipa neema, Umenipa uzima
Umenitenda wema sina hata la kusema
Maombi we wajibu we tabibu wa karibu
Hujawai kuniwacha kwenye shida wala taabu...
Ee Yesu
ninakupenda oo Yesu
ee Yesu
wa kutosheleza
ee Yesu
Ee Yesu
ninakupenda oo Yesu
ee Yesu
wa kutosheleza
ee Yesu
Ee Yesu
ninakupenda oo Yesu
ee Yesu
wa kutosheleza
ee Yesu