Sifa Lyrics

MTETEZI WANGU YU HAI by Angela K Wambua Music + John Kay cover art

Angela K Wambua Music + John Kay - MTETEZI WANGU YU HAI Lyrics

Artist:
Angela K Wambua Music + John Kay

Lyrics

Ninajua Baba ndiye mtetezi wangu


Najua mtetezi wangu yu hai hawezi niacha,na baada ya mapito nitamuona kwa macho yangu na si ya mwengine


Najua mtetezi wangu yu hai hawezi niacha,na baada ya mapito nitamuona kwa macho yangu na si ya mwengine


Naipotelea mbali siku ya kuzaliwa kwangu,iwe kisa tupu mwanga usiangazie nikaweka tumaini kwa mwanadamu nikabaki pweke 


niliokula nao meza moja kaniinulia visigino,ole wangu kuweka tumaini kwa wanadamu,kazi sina,chakula,mavazi sina,magonjwa yaniandama mungu wangu,mungu wangu huwezi muache mwenye haki anguke.


Ninajua Baba ndiye mtetezi wangu


Najua mtetezi wangu yu hai hawezi niacha,na baada ya mapito nitamuona kwa macho yangu na si ya mwengine


Ninajua Baba ndiye mtetezi wangu


Najua mtetezi wangu yu hai hawezi niacha,na baada ya mapito nitamuona kwa macho yangu na si ya mwengine


Babaa,Babaa


machozi yamekuwa chakula changu mchana na usiku


wengi wananiambia mchana kutwa yupo wapi Mungu wakoo


Babaa,Babaa


ikiwezekana Kikombe hiki kiniebuke


lakini si kama nitakavyo mimi bali utakavyo Baba


Ninajua Baba ndiye mtetezi wangu


Najua mtetezi wangu yu hai hawezi niacha,na baada ya mapito nitamuona kwa macho yangu na si ya mwengine


Ninajua Baba ndiye mtetezi wangu


Najua mtetezi wangu yu hai hawezi niacha,na baada ya mapito nitamuona kwa macho yangu na si ya mwengine


Na wamama aweza sahau mtoto anayemnyonyesha, wasema mimi wako huwezi nisahau na mapito ni kipimo cha imani yangu ni ya muda tu,uniandalie meza kubwa mbele ya watezi,Nile,Ninywe wakiona Mungu tuma neno moja hali yangu ibadilike,tuma neno moja waibike wajue hauchelewi wakati wako ndio bora.


Ninajua Baba ndiye mtetezi wangu


Najua mtetezi wangu yu hai hawezi niacha,na baada ya mapito nitamuona kwa macho yangu na si ya mwengine


Video