Angela K Wambua Music + John Kay - MTETEZI WANGU YU HAI Lyrics

Lyrics

Ninajua Baba ndiye mtetezi wangu

Najua mtetezi wangu yu hai hawezi niacha,na baada ya mapito nitamuona kwa macho yangu na si ya mwengine


Najua mtetezi wangu yu hai hawezi niacha,na baada ya mapito nitamuona kwa macho yangu na si ya mwengine


Naipotelea mbali siku ya kuzaliwa kwangu,iwe kisa tupu mwanga usiangazie nikaweka tumaini kwa mwanadamu nikabaki pweke 

niliokula nao meza moja kaniinulia visigino,ole wangu kuweka tumaini kwa wanadamu,kazi sina,chakula,mavazi sina,magonjwa yaniandama mungu wangu,mungu wangu huwezi muache mwenye haki anguke.


Ninajua Baba ndiye mtetezi wangu

Najua mtetezi wangu yu hai hawezi niacha,na baada ya mapito nitamuona kwa macho yangu na si ya mwengine


Ninajua Baba ndiye mtetezi wangu

Najua mtetezi wangu yu hai hawezi niacha,na baada ya mapito nitamuona kwa macho yangu na si ya mwengine


Babaa,Babaa

machozi yamekuwa chakula changu mchana na usiku

wengi wananiambia mchana kutwa yupo wapi Mungu wakoo

Babaa,Babaa

ikiwezekana Kikombe hiki kiniebuke

lakini si kama nitakavyo mimi bali utakavyo Baba


Ninajua Baba ndiye mtetezi wangu

Najua mtetezi wangu yu hai hawezi niacha,na baada ya mapito nitamuona kwa macho yangu na si ya mwengine


Ninajua Baba ndiye mtetezi wangu

Najua mtetezi wangu yu hai hawezi niacha,na baada ya mapito nitamuona kwa macho yangu na si ya mwengine


Na wamama aweza sahau mtoto anayemnyonyesha, wasema mimi wako huwezi nisahau na mapito ni kipimo cha imani yangu ni ya muda tu,uniandalie meza kubwa mbele ya watezi,Nile,Ninywe wakiona Mungu tuma neno moja hali yangu ibadilike,tuma neno moja waibike wajue hauchelewi wakati wako ndio bora.


Ninajua Baba ndiye mtetezi wangu

Najua mtetezi wangu yu hai hawezi niacha,na baada ya mapito nitamuona kwa macho yangu na si ya mwengine

Video

ANGELA K AND JOHN KAY - MTETEZI WANGU YU HAI (OFFICIAL VIDEO)SMS (SKIZA 5805288 to 811)

Thumbnail for MTETEZI WANGU YU HAI video
Loading...
In Queue
View Lyrics