Beatrice Mwaipaja - Asante Baba Lyrics

Asante Baba Lyrics



Leo ooh kwa neema za 
Ni Mungu ni Mungu ni Mungu uu 
Ni Baba ni Baba ni Baba ah 
Ametenda leo Mungu uu 
Amefanya leo Baba aah 
Pendo lake limenitoa mbali Baba 
Amenifikisha hapa nilipo Mungu 
Huruma zake Baba zimenitafuta mie eh 
Fadhili zake Mungu zimenitoa mbali 

Leo Mungu amefanya jambo maishani mwangu 
Acha niringe mimi nina Mungu 
Acha nilinge Baba amenitoa mbali ii 
Ametenda mema kwangu uu 
Ni Mungu leo ni Mungu (aaah) 
Ni Baba leo ni Baba (asante) 
Asante Baba 

Asante (asante Baba aah)
Asante (asante Baba) 
Asante (asante Baba) 

Ni Mungu leo nashukuru Mungu 
Umepata mtoto mzuri (shukuru) 
Umefaulu mitihani (shukuru) 
Ni Mungu ni Mungu ni Mungu uu 
Ni Baba ni Baba ni Baba ah  
Malaika ulivyo mpendwa ni Mungu 
Usijivune bure wewe ni Mungu 
Mali ulizonazo ni Mungu (shukuru) 
Sio kwamba wewe ni mzuri sana (shukuru) 
Ila ni neema ya Mungu 
Unaendesha gari lako ni Mungu 

Ni Mungu leo ni Mungu (aaah) 
Ni Baba leo ni Baba (asante) 
Asante (asante Baba aah)
Asante (asante Baba) 
Asante (asante Baba) 

Tuzishe sala ili tuwe imara 
Tusije tukapotea, Asante (asante Baba)
Asante (asante Baba) 
Asante (asante Baba) 


Asante Baba Video

Asante Baba Lyrics -  Beatrice Mwaipaja

Beatrice Mwaipaja Songs

Related Songs