Jina jina la Yesu jamani tulitumie
Jina tutashinda kwa jina
Jina jina la Yesu ata sisi tunalo jina
Tutashinda kwa jina la Yesu
Jina jina ee
Jina ee twagemea jina la Yesu
Hatuna mashaka wala hovu
Uwanja wapitae vita vimeanza
Mashujaa wawili wanakailiana
Upande moja kasimama Daudi upande mwengine kasimama Goliathi
Daudi kijana mdogo lakini mwenye imani
Anamwambia Goliathi umeeba mkuki na fimbo
Lakini mimi ninakuja kwa jina la Bwana wa majeshi aa
Jina jina la Yesu na sisi tutashinda tunalo
Jina jina la Yesu ata sisi tunalo jina
Tutashinda kwa jina la Yesu
Jina jina ee
Jina ee twagemea jina la Yesu
Hatuna mashaka wala hovu
Jina jina la Yesu na sisi tutashinda tunalo
Jina jina la Yesu ata sisi tunalo jina
Tutashinda kwa jina la Yesu
Jina jina ee
Tunategemea jina la Yesu
Tunajifunza kwa Daudi alishinda kwa jina
Alimwambia Goliathi nitakushinda kwa Jina
Vita ni ya kubeba upanga wala hakubeba mkuki
Alitegemea jina ndo maana akashinda kwa jiwe moja tu
Jina jina la Yesu na sisi tutashinda tunalo
Jina jina la Yesu ata sisi tunalo jina
Tutashinda kwa jina la Yesu
Jina jina ee
Jina ee twagemea jina la Yesu
Hatuna mashaka wala hovu
Wanaona moto wanaona moto wa Yesu moto
Jina jina ee
Tunategemea jina la Yesu
Hatuna mashaka wala hovu