Bony Mwaitege - Tutashinda Lyrics

Tutashinda Lyrics

Jina jina la Yesu jamani tulitumie
Jina tutashinda kwa jina
Jina jina la Yesu ata sisi tunalo jina
Tutashinda kwa jina la Yesu
Jina jina ee 
Jina ee twagemea jina la Yesu
Hatuna mashaka wala hovu

Uwanja wapitae vita vimeanza
Mashujaa wawili wanakailiana 
Upande moja kasimama Daudi upande mwengine kasimama Goliathi
Daudi kijana mdogo lakini mwenye imani
Anamwambia Goliathi umeeba mkuki na fimbo
Lakini mimi ninakuja kwa jina la Bwana wa majeshi aa

Jina jina la Yesu na sisi tutashinda tunalo
Jina jina la Yesu ata sisi tunalo jina
Tutashinda kwa jina la Yesu
Jina jina ee 
Jina ee twagemea jina la Yesu
Hatuna mashaka wala hovu

Jina jina la Yesu na sisi tutashinda tunalo
Jina jina la Yesu ata sisi tunalo jina
Tutashinda kwa jina la Yesu
Jina jina ee 
Tunategemea jina la Yesu

Tunajifunza kwa Daudi alishinda kwa jina 
Alimwambia Goliathi nitakushinda kwa Jina
Vita ni ya kubeba upanga wala hakubeba mkuki
Alitegemea jina ndo maana akashinda kwa jiwe moja tu

Jina jina la Yesu na sisi tutashinda tunalo
Jina jina la Yesu ata sisi tunalo jina
Tutashinda kwa jina la Yesu
Jina jina ee 
Jina ee twagemea jina la Yesu
Hatuna mashaka wala hovu

Wanaona moto wanaona moto wa Yesu moto
Jina jina ee 
Tunategemea jina la Yesu
Hatuna mashaka wala hovu






Tutashinda Video

Bony Mwaitege Songs

Related Songs