Bony Mwaitege - Tutashinda Lyrics

Lyrics

Jina jina la Yesu jamani tulitumie

Jina tutashinda kwa jina

Jina jina la Yesu ata sisi tunalo jina

Tutashinda kwa jina la Yesu

Jina jina ee 

Jina ee twagemea jina la Yesu

Hatuna mashaka wala hovu


Uwanja wapitae vita vimeanza

Mashujaa wawili wanakailiana 

Upande moja kasimama Daudi upande mwengine kasimama Goliathi

Daudi kijana mdogo lakini mwenye imani

Anamwambia Goliathi umeeba mkuki na fimbo

Lakini mimi ninakuja kwa jina la Bwana wa majeshi aa


Jina jina la Yesu na sisi tutashinda tunalo

Jina jina la Yesu ata sisi tunalo jina

Tutashinda kwa jina la Yesu

Jina jina ee 

Jina ee twagemea jina la Yesu

Hatuna mashaka wala hovu


Jina jina la Yesu na sisi tutashinda tunalo

Jina jina la Yesu ata sisi tunalo jina

Tutashinda kwa jina la Yesu

Jina jina ee 

Tunategemea jina la Yesu


Tunajifunza kwa Daudi alishinda kwa jina 

Alimwambia Goliathi nitakushinda kwa Jina

Vita ni ya kubeba upanga wala hakubeba mkuki

Alitegemea jina ndo maana akashinda kwa jiwe moja tu


Jina jina la Yesu na sisi tutashinda tunalo

Jina jina la Yesu ata sisi tunalo jina

Tutashinda kwa jina la Yesu

Jina jina ee 

Jina ee twagemea jina la Yesu

Hatuna mashaka wala hovu


Wanaona moto wanaona moto wa Yesu moto

Jina jina ee 

Tunategemea jina la Yesu

Hatuna mashaka wala hovu





Video

Bony Mwaitege - TUTASHINDA(Official Music Video)

Thumbnail for Tutashinda video
Loading...
In Queue
View Lyrics