Nadia Mukami - Roho Mbaya Lyrics
Lyrics
Nisha kuwa na rafiki zamani Nikamwambia siri zangu za ndani Akaziweka hadharani
Tena nikakuwa na rafiki wa kufa kuzikana Pale pesa zilipokwisha naye akanikwepa Nishachumbia mpenzi wangu Nilipopata mimba akasema sio yangu
Leo mi nacheka na ninakula nao Ila wananitendea Ninajenga kwao ninaimba nao Ila wamenigeukia
Mi nacheka na ninakula nao Ila wananitendea Ninajenga kwao ninaimba nao Ila wamenigeukia
Roho mbaya, ila tu naishi nao wee Roho mbaya, hata wengine damu zetu wee Roho mbaya, ila tu naishi nao wee Roho mbaya, hata wengine damu zetu wee
Wameniwekea mitego Nisisonge mbele Wanatamani vyangu viwe vyao Wananionea gere
Wamengoja nisote wacheke Nisote wasema Wanangoja nishuke mziki waseme Ooh waseme
Leo mi nacheka na ninakula nao Ila wananitendea Ninajenga kwao ninaimba nao Ila wamenigeukia
Mi nacheka na ninakula nao Ila wananitendea Ninajenga kwao ninaimba nao Ila wamenigeukia
Roho mbaya, ila tu naishi nao wee Roho mbaya, hata wengine damu zetu wee Roho mbaya, ila tu naishi nao wee Roho mbaya, hata wengine damu zetu wee
Cheza kama umepata kazi wee Cheza wakuone umenunua gari Cheza kama umepata kanyumba wee Cheza kama una pesa za kwako
Roho mbaya, ila tu naishi nao wee Roho mbaya, hata wengine damu zetu wee Roho mbaya, ila tu naishi nao wee Roho mbaya, hata wengine damu zetu wee
Video
ROHO MBAYA BY NADIA MUKAMI (OFFICIAL VIDEO) Sms "SKIZA 5802878" TO 811