Nadia Mukami - Roho Mbaya Lyrics

Lyrics

Nisha kuwa na rafiki zamani Nikamwambia siri zangu za ndani Akaziweka hadharani

Tena nikakuwa na rafiki wa kufa kuzikana Pale pesa zilipokwisha naye akanikwepa Nishachumbia mpenzi wangu Nilipopata mimba akasema sio yangu

Leo mi nacheka na ninakula nao Ila wananitendea Ninajenga kwao ninaimba nao Ila wamenigeukia

Mi nacheka na ninakula nao Ila wananitendea Ninajenga kwao ninaimba nao Ila wamenigeukia

Roho mbaya, ila tu naishi nao wee Roho mbaya, hata wengine damu zetu wee Roho mbaya, ila tu naishi nao wee Roho mbaya, hata wengine damu zetu wee

Wameniwekea mitego  Nisisonge mbele Wanatamani vyangu viwe vyao  Wananionea gere

Wamengoja nisote wacheke Nisote wasema Wanangoja nishuke mziki waseme Ooh waseme

Leo mi nacheka na ninakula nao Ila wananitendea Ninajenga kwao ninaimba nao Ila wamenigeukia

Mi nacheka na ninakula nao Ila wananitendea Ninajenga kwao ninaimba nao Ila wamenigeukia

Roho mbaya, ila tu naishi nao wee Roho mbaya, hata wengine damu zetu wee Roho mbaya, ila tu naishi nao wee Roho mbaya, hata wengine damu zetu wee

Cheza kama umepata kazi wee Cheza wakuone umenunua gari Cheza kama umepata kanyumba wee Cheza kama una pesa za kwako

Roho mbaya, ila tu naishi nao wee Roho mbaya, hata wengine damu zetu wee Roho mbaya, ila tu naishi nao wee Roho mbaya, hata wengine damu zetu wee

Video

ROHO MBAYA BY NADIA MUKAMI (OFFICIAL VIDEO) Sms "SKIZA 5802878" TO 811

Thumbnail for Roho Mbaya video
Loading...
In Queue
View Lyrics