Nadia Mukami - Acheni Mungu Aitwe Lyrics
Lyrics
Hallelujah, yeah Halle, hallelujah
Bwana ni mchungaji wangu Sitakumbukiwa na kitu chochote Unilazae Kwenye majani mabichi Uniongozae kwa njia za haki
Nipitiapo kati ya mauti Sitaogopa wewe una mi Waandaa meza mbele yangu Machoni pa watesa wangu
Acheni Mungu aitwe Mungu Acheni Mungu aitwe Mungu Acheni Mungu aitwe Mungu Acheni Mungu aitwe Mungu (Jehova Jire, Elshadai, Elroi, yote ni yako Jehova Jire, Elshadai, Elroi, yote ni yako He! he!he! Yote ni yako He! he!he! Yote ni yako)
Nimepita kati ya Milima na mabonde Umesema wewe hutaniacha Ata wanitukane waniseme, Utabaki Kuwa milele Mungu wa wanyonge Waliowachwa waliotengwa unawapiga miyo Utabaki kuwa milele Mungu wa wanyonge
Nipitiapo kati ya mauti Sitaogopa wewe una mi Waandaa meza mbele yangu Machoni pa watesa wangu
Acheni Mungu aitwe Mungu Acheni Mungu aitwe Mungu Acheni Mungu aitwe Mungu Acheni Mungu aitwe Mungu (Jehova Jire, Elshadai, Elroi, yote ni yako Jehova Jire, Elshadai, Elroi, yote ni yako He! he!he! Yote ni yako He! he!he! Yote ni yako)
(Yelelelyelee he! Yote ni yako)
Video
Nadia Mukami - Acheni Mungu Aitwe ( Official Audio)