Nadia Mukami - Acheni Mungu Aitwe Lyrics

Lyrics

Hallelujah, yeah Halle, hallelujah

Bwana ni mchungaji wangu Sitakumbukiwa na kitu chochote Unilazae Kwenye majani mabichi Uniongozae kwa njia za haki

Nipitiapo kati ya mauti Sitaogopa wewe una mi Waandaa meza mbele yangu Machoni pa watesa wangu

Acheni Mungu aitwe Mungu Acheni Mungu aitwe Mungu Acheni Mungu aitwe Mungu Acheni Mungu aitwe Mungu (Jehova Jire, Elshadai, Elroi, yote ni yako Jehova Jire, Elshadai, Elroi, yote ni yako He! he!he! Yote ni yako He! he!he! Yote ni yako)

Nimepita kati ya Milima na mabonde Umesema wewe hutaniacha Ata wanitukane waniseme, Utabaki Kuwa milele Mungu wa wanyonge Waliowachwa waliotengwa unawapiga miyo Utabaki kuwa milele Mungu wa wanyonge

Nipitiapo kati ya mauti Sitaogopa wewe una mi Waandaa meza mbele yangu Machoni pa watesa wangu

Acheni Mungu aitwe Mungu Acheni Mungu aitwe Mungu Acheni Mungu aitwe Mungu Acheni Mungu aitwe Mungu (Jehova Jire, Elshadai, Elroi, yote ni yako Jehova Jire, Elshadai, Elroi, yote ni yako He! he!he! Yote ni yako He! he!he! Yote ni yako)

(Yelelelyelee he! Yote ni yako)

Video

Nadia Mukami - Acheni Mungu Aitwe ( Official Audio)

Thumbnail for Acheni Mungu Aitwe video
Loading...
In Queue
View Lyrics