Dua Lyrics - Alice Kimanzi
Alice Kimanzi swahili
Dua Lyrics
VERSE 1:
Hali hii yangu
Isiwe nafasi ya kuto msifu Mungu
Mahali nilofika pasi ninungĂșnishe moyo
Daima nimshukuru
Nafsi yangu âsisahau
Yale yote ametenda
Kwa upendo wake mwema
Kanizingira kwa neema
Moyo wangu vuta heri kwa subira
CHORUS:
Atajibu dua langu
Kwa njia Yake na wakati Wake (x2)
Moyo tulia
VERSE 2:
Najua njia hii si rahisi
Natambua mlima huu umezidi
Uwezo wangu
Egemeo ni Yesu tu
Na hata giza likija na mashaka pia
Yazibe macho yangu
Bado nitazidi kwani Ye aliahidi
Nasadiki Neno Lake kweli
BRIDGE:
Kwani Yeye anakuona
Tena Yeye anakujali (moyo tulia)
Anahisi uchungu wako
Tulia, tulia