Beda Andrew - Nguvu za Mungu Lyrics

Lyrics

Rafiki hivi unavyoniona Ni kwa neema tu Na hata uzima nilio nao Ni upendeleo tu

Na kufika hapa sio sababu ya kuwa Mimi ni mwema sana (Kuliko wale) Tena natambua kama si wake mkono Ningeshatumbukia shimoni na nipotee

Ninalindwa, kwa nguvu za Mungu Ni kwa nguvu za Mungu Si kwa ujanja wala akili zangu Ila ni kwa nguvu za Mungu

Ninalindwa, kwa nguvu za Mungu Ni kwa nguvu za Mungu Si kwa ujanja wala akili zangu Ila ni kwa nguvu za Mungu

Nia ya mwovu ni kutaka ona mi naangamia Kusudi la Mungu maishani mwangu nisipate timia  Anatega mitego, ili mradi kuniangamiza Kunimaliza kunipoteza, ila Yahweh ananilinda

Nimeokolewa na ajali Magonjwa na kila hatari Mpaka sasa nipo hai Nakushukuru jemedari

Uzima wangu, hauko mikoni mwangu Uzima wangu, uko mikononi mwake

Kwa nguvu za Mungu Ni kwa nguvu za Mungu Kwa nguvu za Mungu Ni kwa nguvu za Mungu

Ni kwa nguvu za Mungu Si kwa ujanja wala akili zangu Ila ni kwa nguvu za Mungu

Ninalindwa, kwa nguvu za Mungu Ni kwa nguvu za Mungu Si kwa ujanja wala akili zangu Ila ni kwa nguvu za Mungu

Ninalindwa, kwa nguvu za Mungu Ni kwa nguvu za Mungu Si kwa ujanja wala akili zangu

Ni kwa neema tu za aliye juu Aliye juu ni Mungu mkuu Ni kwa neema tu za aliye juu Aliye juu ni Mungu mkuu

Ni kwa neema tu za aliye juu Aliye juu ni Mungu mkuu Ni kwa neema tu za aliye juu Aliye juu ni Mungu mkuu

Kwa nguvu za Mungu Ni kwa nguvu za Mungu Si kwa ujanja wala akili zangu Ila ni kwa nguvu za Mungu

Video

Beda Andrew - NGUVU ZA MUNGU (Official Music Video)

Thumbnail for Nguvu za Mungu video
Loading...
In Queue
View Lyrics