Na na na na...
Nalikuwa sijiwezi unyonge ulinilemea
Sikuwa na tumaini ya mbele kuendelea
Imani ilififia sikuona kabisa
Kama moja ya nyenzo iliyotikisika aah
Nalikosa tabasamu usoni
Tegemeo sikuona maishani
Nikashindwa endelea mbele
Hali iliyofanya nikwame kule .
Ulikonitoa ni mbali sana
Ni kweli umenikomboa nashukuru sana
Ulikonitoa ni mbali sana
Ukanikomboa na zile laana .
Mbali sana, mbali sana
Mbali sana nashukuru Bwana .
Uliona haiko shwari mimi kupotea njia
Sijui namna gani uliwaza ukanihurumia
Nalifanya nia jangwa mvua kutonyeshe
Nami mche mbichi maji yalinikaukia
Shida mateso sina tena, yamewekwa nyuma
Mimi wa Yesu mwingine sina
Wa kurudisha nyuma
Wakati wa kuokolewa umekubalika
Kwa haki na ushupavu wake ukatibitika .
Ulikonitoa ni mbali sana
Ni kweli umenikomboa nashukuru sana
Ulikonitoa ni mbali sana
Ukanikomboa na zile laana .
Mbali sana, mbali sana
Mbali sana nashukuru Bwana .
oooh oh oh oooh
...
Write a review of Mbali Sana:
No verses added for this song, suggest a verse to be included in the comments section