Christina Shusho - Umewazidi Lyrics

Umewazidi Lyrics

Alipokwisha kunena alimwambia Simoni
Toweka mpaka kilindini kashushe nyavu zenyu
Yesu lipokwisha kunena alimwambia Simoni
Toweka mpaka kilindini kashushe nyavu zenyu

Bwana mkubwa tumefanya kazi ya kutosha usiku kucha
Bwana mkubwa tumefanya kazi mpaka tusipate kitu
Bwana mkubwa tumefanya kazi ya kutosha usiku kucha
Bwana mkubwa tumefanya kazi mpaka tusipate kitu
Lakini kwa neno lako
Nashusha nyavu, nashusha nyavu
Nashusha nyavu, nashusha nyavu
Bwana kwa neno lako
Nashusha nyavu, nashusha nyavu
Nashusha nyavu, nashusha nyavu

Najua nikiwa nawe, Bwana nitasimama tena
Hata nikilemewa, wewe utanishika tena
Hata vita inijie, Bwana utanipigania
Watesi wajipange, Bwana utapigana nao
Nimetoa mwenzenu nimetoa
Nimetoa na mafuta nikapewa
Nikapanda na mbegu nikapanda
Nikapanda ila mvua haikunyesha

Bwana mkubwa tumefanya kazi ya kutosha usiku kucha
Bwana mkubwa tumefanya kazi mpaka tusipate kitu
Bwana mkubwa tumefanya kazi ya kutosha usiku kucha
Bwana mkubwa tumefanya kazi mpaka tusipate kitu

Lakini kwa neno lako
Nashusha nyavu, nashusha nyavu
Nashusha nyavu, nashusha nyavu
Bwana kwa neno lako
Nashusha nyavu, nashusha nyavu
Nashusha nyavu, nashusha nyavu

Kwa neno lako, Bwana kwa neno lako
Yesu tuma neno

Nashusha nyavu, nashusha nyavu
Nashusha nyavu, nashusha nyavu
Nashusha nyavu, nashusha nyavu
Nashusha nyavu, nashusha nyavu
Turn it around
Nashusha nyavu, nashusha nyavu
Bwana tuma neno 
Turn it around, Turn it around


Umewazidi Video

Umewazidi Lyrics -  Christina Shusho

Christina Shusho Songs

Related Songs