Ali Mukhwana - Watakusema Lyrics
Lyrics
Watakusema, wanadamu Watakusema
(Still Alive)
Yesu akatenda miujiza Akatembea juu ya maji Na bado wakamsema
Aliponya Batimayo Akafufua Lazaro Na bado wakamsema
Kama walimsaliti Yesu, wewe ni nani? Bado watanisema Kama walimsaliti Yesu, wewe ni nani? Bado watanisema
Bado watakusema, bado watanisena Bado watanisema, bado watanisena
Unakula nao, unafanya kazi nao Na bado wanakusema Ukifanya hili, ukifanya lile Na bado wanakusema
Sasa tenda mema uenda zako Tenda mema, Mola atakulipa Tenda mema ndugu, tenda mema kaka Mola atakulipa
Bado watanisena, bado watanisena Mazuri mabaya watakusema Bado watanisena, bado watanisena Tenda mema nenda zako
Tenda mema uenda zako Yuko Mola, Eeeh Atakulipa, atakulipa
Bado watanisema wewe, bado watanisema Bado watanisema, bado watanisema
Video
Ali Mukhwana - Watakusema (Official Video)