Jane Misso - Omoyo Remix Lyrics

Lyrics

Omoyo Omoyo yee Omoyo kone nenenda seba Omoyo Omoyo yee Omoyo kone nenenda seba Omoyo Omoyo yee Omoyo kone nenenda seba Omoyo Omoyo yee Omoyo kone nenenda seba

Wendo ulishawishi ninywe nikalewa nikazima Sasa ona adi watoto wananikosea heshimaa Kwanini usiseme ile pesa nikatone kwa yatima eeeh Moyo konde enena seba Na walipo sema mke wa mtu sumo Moyo ukasema ninunue maziwa Na ukanishawishi eti japo ni mchungu Mwisho wake nikafumaniwaa We moyo uambiliki, utabiriki Omoyo muoga wa dhiki nan do maana una rafiki Naukisha niweka matatani auonekani unamsingizia shetani Sasa ukinigombanisha na ndugu jirani Atanizika nani moyo nione imani

Omoyo Omoyo yee Omoyo kone nenenda seba Omoyo Omoyo yee Omoyo kone nenenda seba Omoyo Omoyo yee Omoyo kone nenenda seba

Omoyo wee mpenda vizuri vizuri We ndo unanifanya nionekane kiburi, kiburi Na ukitaka lako utavunja ata kufuli Na kisema mia uitaki sifuri sifuri Aaha ivi kwanini upendeki moyo Auzeeki moyo Au seomeki moyo Ata umpe dunia au tosheki moyo Unacho taka nanunua naukipata unataka tofauti Tena mbovu wa kuchagua una viatu unatamani suti Omoyo kuonge unajua kuongea cha ajabu autoi sauti Ivi uko kwa kichwa ama kwa kifua sema moyo nikutoe baruti Naukisha niweka matatani auonekani unamsingizia shetani Sasa ukinigombanisha na ndugu jirani Atanizika nani moyo nione imani

Omoyo Omoyo yee Omoyo kone nenenda seba Omoyo Omoyo yee Omoyo kone nenenda seba Omoyo Omoyo yee Omoyo kone nenenda seba

Video

Jane Misso X Harmonize - Omoyo Remix (Official Music Video)

Thumbnail for Omoyo Remix video
Loading...
In Queue
View Lyrics