Israel Ezekia - NinaKuhimidi Bwana Lyrics

NinaKuhimidi Bwana Lyrics

Ninakumbuka ulivyoniokoa 
Toka katika mizigo ya dhambi 
Sasa ni huru nakuabudu Baba 
Ninakuhimidi Bwana 
Ninakumbuka ulivyoniponya 
Ukaniondolea magonjwa yote 
Sasa ni mzima nakwabudu Baba 
Ninakuhimidi Bwana 

Ninakuhimidi Bwana, Ninakuhimidi Bwana 
Sifa zako zi kinywani Mwangu 
Ninakuhimidi Bwana 

Ninakuhimidi Bwana, Ninakuhimidi Bwana 
Sifa zako zi kinywani mwangu 
Ninakuhimidi Bwana 

Uliyetenda tena utandaye 
Huna mwanzo wala mwisho 
Maisha yangu nakukabidhi 
Uitumie kama upendavyo
Wewe ni mwema tena mwaminifu 
Mtakatifu niwe wa pekee 
Mbingu na chi zimejaa utukufu wako 
Twakuhimidi pokea sifa zetu 
Pokea pokea 

Ninakuhimidi Bwana, Ninakuhimidi Bwana 
Sifa zako zi kinywani mwangu 
Ninakuhimidi Bwana 


NinaKuhimidi Bwana Video

NinaKuhimidi Bwana  Lyrics -  Israel Ezekia

Israel Ezekia Songs

Related Songs