Mercy Masika - Kuna Namna (There's A Way) Lyrics

Lyrics

Kuna aina za upendo aina nyingi 

Lakini upendo wako ndio halisi

Kuna haina za utukufu, aina nyingi 

Lakini wako ni mkuu na wa milele 

Kuna aina pia za miungu 

Lakini wewe ni Mungu mkuu aliye hai


Nimekujua nimetosheleka 

Nimekujua nimekupenda 


Kuna namna, kuna namna unatupenda 

(There's way you love us)

Inabidii Yesu nikupenda 

(I have to love You Jesus)

Kuna namna, kuna namna unatutenda 

(There's way you do for us)

Inabidii Yesu nikupende 


Hukututenda sawasawa na njia zetu 

Wala hukutulipa kwa maovu yetu 

Umeniokoa mtegoni wa muindaji 

Kwa manyoya umenifunika niko salama 


Nimekujua nimetosheleka 

Nimekujua nimekupenda 

Ujana wangu umerejeshwa pia 


Kuna namna, kuna namna unatupenda 

Inabidii Yesu nikupenda 

Kuna namna, kuna namna unatutenda 

Inabidii Yesu nikupende 


Video

Mercy Masika - Kuna Namna ( There's a way ) official video . *812*39#

Thumbnail for Kuna Namna (There's A Way) video
Loading...
In Queue
View Lyrics