Mercy Masika - Kuna Namna (There's A Way) Lyrics

Kuna Namna (There's A Way) Lyrics

Kuna aina za upendo aina nyingi 
Lakini upendo wako ndio halisi
Kuna haina za utukufu, aina nyingi 
Lakini wako ni mkuu na wa milele 
Kuna aina pia za miungu 
Lakini wewe ni Mungu mkuu aliye hai

Nimekujua nimetosheleka 
Nimekujua nimekupenda 

Kuna namna, kuna namna unatupenda 
(There's way you love us)
Inabidii Yesu nikupenda 
(I have to love You Jesus)
Kuna namna, kuna namna unatutenda 
(There's way you do for us)
Inabidii Yesu nikupende 

Hukututenda sawasawa na njia zetu 
Wala hukutulipa kwa maovu yetu 
Umeniokoa mtegoni wa muindaji 
Kwa manyoya umenifunika niko salama 

Nimekujua nimetosheleka 
Nimekujua nimekupenda 
Ujana wangu umerejeshwa pia 

Kuna namna, kuna namna unatupenda 
Inabidii Yesu nikupenda 
Kuna namna, kuna namna unatutenda 
Inabidii Yesu nikupende 


Kuna Namna (There's A Way) Video

Mercy Masika Songs

Related Songs