Mercy Masika - Huyu Yesu Lyrics
Lyrics
Huyu Yesu si sanamu, Si mwanadamu adanganye Ahadi zake zote kweli Na Amina nimemuona
Na akisema Ndio, Hakuna wa kumpinga Akikubariki, hakuna wakunyang'anya Akiku ahidi, kwa wakati atimiza Anavyokuita, ndivyo ulivyooo Huyu Yesu, huyu Yesu, si hadithi mwambie
Unatangaziwa nini, umetabiriwa nini maishani mwako mwambie unaumizwa na nini, je unahofu gani maishani mwako Mwambieeee
Na akisema Ndio, Hakuna wa kumpinga Akikubariki, hakuna wakunyang'anya Akiku ahidi, kwa wakati atimiza Anavyokuita, ndivyo ulivyooo
Huyu Yesu, huyu Yesu, si hadithi mwambie... Onhoooo.Mwambiee ehee Huyu Yesu, huyu Yesu, si hadithi mwambie...
@ Mercy Masika - Huyu Yesu
Video
MERCY MASIKA FT ANGEL BENARD - HUYU YESU