Sifaeli Mwabuka - Mimi ni Nani Lyrics

Contents: Song Information
  • Song Title: Mimi ni Nani
  • Album: Mimi ni Nani - Single
  • Artist: Sifaeli Mwabuka
  • Released On: 05 Feb 2021
  • Download/Stream: iTunes Music Amazon Music
Sifaeli Mwabuka Mimi ni Nani

Mimi ni Nani Lyrics

Mimi ni nani Mungu wangu
Mimi ni nani?
Mimi ni nani Yesu wangu
Mimi ni nani?

Mimi ni nani Mungu wangu
Mimi ni nani?
Mimi ni nani Yesu wangu
Mimi ni nani?

Umenipa upendeleo Baba
Mimi ni nani?
Umenipa upendeleo Baba
Mimi ni nani?

Kati ya wale wengi walikuwa wa kuomba
Mimi ni nani umenikumbuka Baba
Kati ya wale wengi walikuwa wa kuomba
Mimi ni nani umejibu maombi yangu

Wengi waliomba uzima umenipa mimi Baba
Mimi ni nani?
Ni wengi waliomba kuishi ata sasa hawako sasa 
Mimi ni nani?

Ni wengi waliomba amani ndoa zao kila siku vita
Mimi ni nani?
Ni wengi waliomba watoto kila siku wanalia
Mimi ni nani?

Wengine wanalia Baba wanahitaji uponyaji
Baba wakumbuke
Wengine wanalia Baba wapi wapate furaha
Yesu wakumbuke

Wengine wanalia Baba wanahitaji watoto
Yesu wakumbuke
Wengine wanalia Baba wanahitaji amani 
Yesu usinyamaze 

Mimi ni nani?(Aah)
Mimi ni nani?(Mimi ni nani Baba, oooh)
Mimi ni nani eeh Baba

Mimi ni nani?(Umenipendelea)
Mimi ni nani?(Umenipendelea)
Mimi ni nani eeh Baba

Mimi ni nani?(Na wengine wanalia)
Mimi ni nani?(Umenipa amani, Jehovah)
Mimi ni nani eeh Baba

Mimi ni nani?(Umenipa mke mwema)
Mimi ni nani?(Umenipa watoto)
Mimi ni nani?(Umenipa afya njema baba)
Mimi ni nani eeh Baba

Moyo wangu acha nikushukuru vile nilivyo Baba
Moyo wangu acha nikushukuru vile nilivyo Baba
Wengine hawapo umenifanya mimi niwepo
Acha nikushukuru

Vile nilivyo Baba umenifanya mimi nifurahi
Mimi ni nani?
Vyote nilivyonavyo Mungu wangu wewe umenipa
Mimi ni nani?

Umenipa mume mwema sio kwa ujanja wangu
Mimi ni nani?
Umenipa amani, ata sasa ninaimba 
Asante Mungu wangu

Eeeh...
Mimi ni nani?(Aah)
Mimi ni nani?(Mimi ni nani Baba, oooh)
Mimi ni nani eeh Baba

Mimi ni nani?(Umenipendelea)
Mimi ni nani?(Umenipendelea)
Mimi ni nani eeh Baba

Mimi ni nani?(Na wengine wanalia)
Mimi ni nani?(Umenipa amani, Jehovah)
Mimi ni nani eeh Baba

Mimi ni nani?(Umenipa mke mwema)
Mimi ni nani?(Umenipa watoto)
Mimi ni nani?(Umenipa afya njema baba)
Mimi ni nani eeh Baba


Sifaeli Mwabuka Songs

Related Songs