Rozinah Mwakideu - Mwaminifu (Remix) Lyrics
Lyrics
Eeh Yahweh, eeh Yahweh Wewe ni Mungu mwaminifu Hubadiliki kamwe
Eeh Yahweh, eeh Yahweh Wewe ni Mungu mwaminifu Hubadiliki kamwe
Wewe sio mwanadamu Eti useme uwongo Au mwana wa mwanadamu Ubadilishe mawazo
Ukisema jambo Baba, Unatenda Oooh Yahweh, eeh Nakuabudu, nakuinua Kwa uaminifu wako Kwa uaminifu wako
Ahadi zako za milele Ooh Yahweh Yahweh Baba
Eeh Yahweh, eeh Yahweh Wewe ni Mungu mwaminifu Hubadiliki kamwe
Eeh Yahweh, eeh Yahweh Wewe ni Mungu mwaminifu Hubadiliki kamwe
Nilidhani yamekwisha Mambo ya mziki niachane nayo Ukanipa fursa tena Niimbe watu wako wakuone
Nimeona wema wako Mkono wako umenihifadhi Baba eeh Eeh Yahweh Wewe ni Mungu mwaminifu
Mwisho mwisho wa mawazo yangu Ndio mwanzo wa yako Ninapodhani nimemaliza Ndio wewe unaanza
Ulingoja Lazaro afe Ndio ukatokea Ukamuita Lazaro toka sasa
Eeh Yahweh, eeh Yahweh Wewe ni Mungu mwaminifu Hubadiliki kamwe
Eeh Yahweh, eeh Yahweh Wewe ni Mungu mwaminifu Hubadiliki kamwe
Wazazi wanaweza kuniwacha Wewe ni Mungu mwaminifu Watoto wanaweza kugeuka Baba Wewe ni Mungu mwaminifu
Misingi ya dunia ikitingizika Wewe ni Mungu mwaminifu Ninaowapenda wakinitenga Wewe ni Mungu mwaminifu
Eeh Yahweh, eeh Yahweh Wewe ni Mungu mwaminifu Hubadiliki kamwe
Eeh Yahweh, eeh Yahweh Wewe ni Mungu mwaminifu Hubadiliki kamwe
Eeh Yahweh, eeh Yahweh Wewe ni Mungu mwaminifu Hubadiliki kamwe
Eeh Yahweh, eeh Yahweh Wewe ni Mungu mwaminifu Hubadiliki kamwe
Video
Rozinah Mwakideu × Guardian Angel- MUNGU MWAMINIFU/Remix(Official Video) sms SKIZA 7638564 to 811