Sifa Lyrics

Mwaminifu (Remix) by Rozinah Mwakideu cover art

Rozinah Mwakideu - Mwaminifu (Remix) Lyrics

Artist:
Rozinah Mwakideu

Lyrics

Eeh Yahweh, eeh Yahweh
Wewe ni Mungu mwaminifu
Hubadiliki kamwe


Eeh Yahweh, eeh Yahweh
Wewe ni Mungu mwaminifu
Hubadiliki kamwe


Wewe sio mwanadamu
Eti useme uwongo
Au mwana wa mwanadamu
Ubadilishe mawazo


Ukisema jambo Baba, Unatenda
Oooh Yahweh, eeh
Nakuabudu, nakuinua
Kwa uaminifu wako
Kwa uaminifu wako


Ahadi zako za milele
Ooh Yahweh Yahweh Baba


Eeh Yahweh, eeh Yahweh
Wewe ni Mungu mwaminifu
Hubadiliki kamwe


Eeh Yahweh, eeh Yahweh
Wewe ni Mungu mwaminifu
Hubadiliki kamwe


Nilidhani yamekwisha
Mambo ya mziki niachane nayo
Ukanipa fursa tena
Niimbe watu wako wakuone


Nimeona wema wako
Mkono wako umenihifadhi Baba eeh
Eeh Yahweh
Wewe ni Mungu mwaminifu


Mwisho mwisho wa mawazo yangu
Ndio mwanzo wa yako
Ninapodhani nimemaliza
Ndio wewe unaanza


Ulingoja Lazaro afe
Ndio ukatokea 
Ukamuita Lazaro toka sasa


Eeh Yahweh, eeh Yahweh
Wewe ni Mungu mwaminifu
Hubadiliki kamwe


Eeh Yahweh, eeh Yahweh
Wewe ni Mungu mwaminifu
Hubadiliki kamwe


Wazazi wanaweza kuniwacha 
Wewe ni Mungu mwaminifu
Watoto wanaweza kugeuka Baba
Wewe ni Mungu mwaminifu


Misingi ya dunia ikitingizika
Wewe ni Mungu mwaminifu
Ninaowapenda wakinitenga
Wewe ni Mungu mwaminifu


Eeh Yahweh, eeh Yahweh
Wewe ni Mungu mwaminifu
Hubadiliki kamwe


Eeh Yahweh, eeh Yahweh
Wewe ni Mungu mwaminifu
Hubadiliki kamwe


Eeh Yahweh, eeh Yahweh
Wewe ni Mungu mwaminifu
Hubadiliki kamwe


Eeh Yahweh, eeh Yahweh
Wewe ni Mungu mwaminifu
Hubadiliki kamwe


Video