Rozinah Mwakideu - Mwaminifu (Remix) Lyrics

Lyrics

Eeh Yahweh, eeh Yahweh Wewe ni Mungu mwaminifu Hubadiliki kamwe

Eeh Yahweh, eeh Yahweh Wewe ni Mungu mwaminifu Hubadiliki kamwe

Wewe sio mwanadamu Eti useme uwongo Au mwana wa mwanadamu Ubadilishe mawazo

Ukisema jambo Baba, Unatenda Oooh Yahweh, eeh Nakuabudu, nakuinua Kwa uaminifu wako Kwa uaminifu wako

Ahadi zako za milele Ooh Yahweh Yahweh Baba

Eeh Yahweh, eeh Yahweh Wewe ni Mungu mwaminifu Hubadiliki kamwe

Eeh Yahweh, eeh Yahweh Wewe ni Mungu mwaminifu Hubadiliki kamwe

Nilidhani yamekwisha Mambo ya mziki niachane nayo Ukanipa fursa tena Niimbe watu wako wakuone

Nimeona wema wako Mkono wako umenihifadhi Baba eeh Eeh Yahweh Wewe ni Mungu mwaminifu

Mwisho mwisho wa mawazo yangu Ndio mwanzo wa yako Ninapodhani nimemaliza Ndio wewe unaanza

Ulingoja Lazaro afe Ndio ukatokea  Ukamuita Lazaro toka sasa

Eeh Yahweh, eeh Yahweh Wewe ni Mungu mwaminifu Hubadiliki kamwe

Eeh Yahweh, eeh Yahweh Wewe ni Mungu mwaminifu Hubadiliki kamwe

Wazazi wanaweza kuniwacha  Wewe ni Mungu mwaminifu Watoto wanaweza kugeuka Baba Wewe ni Mungu mwaminifu

Misingi ya dunia ikitingizika Wewe ni Mungu mwaminifu Ninaowapenda wakinitenga Wewe ni Mungu mwaminifu

Eeh Yahweh, eeh Yahweh Wewe ni Mungu mwaminifu Hubadiliki kamwe

Eeh Yahweh, eeh Yahweh Wewe ni Mungu mwaminifu Hubadiliki kamwe

Eeh Yahweh, eeh Yahweh Wewe ni Mungu mwaminifu Hubadiliki kamwe

Eeh Yahweh, eeh Yahweh Wewe ni Mungu mwaminifu Hubadiliki kamwe

Video

Rozinah Mwakideu × Guardian Angel- MUNGU MWAMINIFU/Remix(Official Video) sms SKIZA 7638564 to 811

Thumbnail for Mwaminifu (Remix) video
Loading...
In Queue
View Lyrics