Mbuvi - Mwambie anakuangalia wewe Lyrics
Lyrics
Mwambie mwambie mwambie Shida Shida za Dunia Zinakuhangaisha Watu unaowatazamia wanakuzungusha Hakuna msaada kamili utapata kwao ni bora uachane nao
Kama umelala njaa, umefukuzwa nyumba kwa sababu huna pesa sikiza nikwambie
Mungu anakuangalia wewe anakutangulia mbele anakungojea wewe weweee
Mungu anakuangalia wewe anakutangulia mbele anakungojea wewe weweee
Kama una shidaa (mwambiee) usione hayaa (mwambiee) atakusikia (mwambiee) mwambie yeye Na kama majaribu (mwambiee) unayopitia (mwambie) atakusikia
@Mbuvi Mbuvi - Mwambie -Tell Him
Na ukipata shukuru, akijibu Mungu Akikawia Subiri usije kufuru
umelala njaa, umefukuzwa nyumba kwa sababu huna pesa sikiza nikwambie
Mungu anakuangalia wewe anakutangulia mbele anakungojea wewe weweee
Mungu anakuangalia wewe anakutangulia mbele anakungojea wewe weweee
Yuko kwa ajili yako (mwambie) ushindi wako (mwambie) Tumaini lako (mwambie) msaada wako (mwambie) mwambieeeeeeeeeeee.
Video
MBUVI MBUVI - MWAMBIE (Official Video)