Mbuvi - Mwambie anakuangalia wewe Lyrics

Lyrics

Mwambie mwambie mwambie Shida Shida za Dunia Zinakuhangaisha Watu unaowatazamia wanakuzungusha Hakuna msaada kamili utapata kwao ni bora uachane nao

Kama umelala njaa, umefukuzwa nyumba kwa sababu huna pesa sikiza nikwambie

Mungu anakuangalia wewe anakutangulia mbele anakungojea wewe weweee

Mungu anakuangalia wewe anakutangulia mbele anakungojea wewe weweee

Kama una shidaa (mwambiee) usione hayaa (mwambiee) atakusikia (mwambiee) mwambie yeye Na kama majaribu (mwambiee) unayopitia (mwambie) atakusikia

@Mbuvi Mbuvi - Mwambie -Tell Him

Na ukipata shukuru, akijibu Mungu Akikawia Subiri usije kufuru

umelala njaa, umefukuzwa nyumba kwa sababu huna pesa sikiza nikwambie

Mungu anakuangalia wewe anakutangulia mbele anakungojea wewe weweee

Mungu anakuangalia wewe anakutangulia mbele anakungojea wewe weweee

Yuko kwa ajili yako (mwambie) ushindi wako (mwambie) Tumaini lako (mwambie) msaada wako (mwambie) mwambieeeeeeeeeeee.

Video

MBUVI MBUVI - MWAMBIE (Official Video)

Thumbnail for Mwambie anakuangalia wewe video
Loading...
In Queue
View Lyrics