Sifa Music - Kama Umenifikisha Hapa Lyrics

Lyrics

Here are the lyrics for the song "Akiwalaii Mungu Unanipenda" originally pinned by Asani

Kama umenifikisha hapa Akiwalaii unanipenda Baba wee ndo wangu Defender Unaniweka kwa calendar

Nilitembea gizani ukaweka mwanga Nililia usiku ukaweka furaha Nilikosa nguvu ukaongeza stamina Sasa kila siku nacheza Hallelujah

Nilipokua chini uliniinua Nilipo potea uliniokoa Sasa mimi ni wako ni wewe tu Aki Bwana wee ni mwamba wangu

Kama umenifikisha hapa Akiwalaii unanipenda Baba wee ndo wangu Provider Unaniweka kwa calendar

Unanipenda (Ndio) Unanilinda (Ndio) Unaniongoza milele Akiwalaii eeeh Unanipenda mileleee

Kama umenifikisha hapa Akiwalaii unanipenda Baba wee ndo wangu Defender Unaniweka kwa calendar

Nilitembea gizani ukaweka mwanga Nililia usiku ukaweka furaha Nilikosa nguvu ukaongeza stamina Sasa kila siku nacheza Hallelujah

Nilipokua chini uliniinua Nilipo potea uliniokoa Sasa mimi ni wako ni wewe tu Aki Bwana wee ni mwamba wangu

Kama umenifikisha hapa Akiwalaii unanipenda Baba wee ndo wangu Provider Unaniweka kwa calendar

Unanipenda (Ndio) Unanilinda (Ndio) Unaniongoza mileleee Akiwalaii eeeh Unanipenda Mileleee Mileleee

Video

HAPA NIMEFIKA SIO MIMI NI WEWE BY JOYBILLI)SKIZA 698721 SEND TO 811 call+254722406367.

Thumbnail for Kama Umenifikisha  Hapa video
Loading...
In Queue
View Lyrics