Sifa Music - Kama Umenifikisha Hapa Lyrics
Lyrics
Here are the lyrics for the song "Akiwalaii Mungu Unanipenda" originally pinned by Asani
Kama umenifikisha hapa Akiwalaii unanipenda Baba wee ndo wangu Defender Unaniweka kwa calendar
Nilitembea gizani ukaweka mwanga Nililia usiku ukaweka furaha Nilikosa nguvu ukaongeza stamina Sasa kila siku nacheza Hallelujah
Nilipokua chini uliniinua Nilipo potea uliniokoa Sasa mimi ni wako ni wewe tu Aki Bwana wee ni mwamba wangu
Kama umenifikisha hapa Akiwalaii unanipenda Baba wee ndo wangu Provider Unaniweka kwa calendar
Unanipenda (Ndio) Unanilinda (Ndio) Unaniongoza milele Akiwalaii eeeh Unanipenda mileleee
Kama umenifikisha hapa Akiwalaii unanipenda Baba wee ndo wangu Defender Unaniweka kwa calendar
Nilitembea gizani ukaweka mwanga Nililia usiku ukaweka furaha Nilikosa nguvu ukaongeza stamina Sasa kila siku nacheza Hallelujah
Nilipokua chini uliniinua Nilipo potea uliniokoa Sasa mimi ni wako ni wewe tu Aki Bwana wee ni mwamba wangu
Kama umenifikisha hapa Akiwalaii unanipenda Baba wee ndo wangu Provider Unaniweka kwa calendar
Unanipenda (Ndio) Unanilinda (Ndio) Unaniongoza mileleee Akiwalaii eeeh Unanipenda Mileleee Mileleee
Video
HAPA NIMEFIKA SIO MIMI NI WEWE BY JOYBILLI)SKIZA 698721 SEND TO 811 call+254722406367.