Sifa Music - Hebu Nieleze Kwa Sauti Ya Upole Lyrics
Lyrics
Here are the lyrics to the song Hebu Nieleze:
Hebu nieleze kwa sauti ya upole
Akili zangu zikuelewe
Rudia rudia kama vile kwa mtoto
Nisisahau neno lako
Hebu nieleze kwa sauti ya upole
Akili zangu zikuelewe
Rudia rudia kama vile kwa mtoto
Nisisahau neno lako
Bwana nieleze kile kilichokufanya
Ukaja hapa wakati ule
Vyote vya mbinguni hukuyaona kitu
Ukaja ishi na viumbe vyako
Hebu nieleze kwa sauti ya upole
Akili zangu zikuelewe
Rudia rudia kama vile kwa mtoto
Nisisahau neno lako
Hebu nieleze kwa sauti ya upole
Akili zangu zikuelewe
Rudia rudia kama vile kwa mtoto
Nisisahau neno lako
Walipokusulubisha pale msalabani
Hakuna aliyekusaidia
Ukafa kifo cha uchungu na aibu
Kwa dhambi iliyokuwa yangu
Hebu nieleze kwa sauti ya upole
Akili zangu zikuelewe
Rudia rudia kama vile kwa mtoto
Nisisahau neno lako
Hebu nieleze kwa sauti ya upole
Akili zangu zikuelewe
Rudia rudia kama vile kwa mtoto
Nisisahau neno lako
Zidi kunionyesha ubaya wa dhambi
Najua ndio iliyokuwa
Na nigeukapo na kutenda dhambi
Bwana nirudi kwa fimbo yako
Hebu nieleze kwa sauti ya upole
Akili zangu zikuelewe
Rudia rudia kama vile kwa mtoto
Nisisahau neno lako
Hebu nieleze kwa sauti ya upole
Akili zangu zikuelewe
Rudia rudia kama vile kwa mtoto
Nisisahau neno lako
Video
BWANA NIELEZE // MSANII MUSIC GROUP