Zabron Singers - Uko Single? Lyrics

Uko Single? Lyrics

Ukisikia ni harusi tufurahi
Maana sio rahisi kumpata
Vigezo huwa ni vingi kububali
Mara mfupi mweusi, simtaki


Wengine sitaki mweupe
Mara mi nataka mweusi
Hamjui mungu sitaki
Vigezo kwa vigezo
Sasa nimeshapata wangu kipenzi
Kipenzi cha roho yangu
Ndio huyu hapa leo
Namtambulisha kwenu


Uko single? Hapana nishampata wangu
Yuko wapi? Huoni mzuri twaendana
Uko single? Hapana keshampata wake
Yuko wapi, yuko wapi? Ni mimi huoni twaendana
Je, uko single? Hapana nishampata wangu
Yuko wapi? Huoni mzuri twaendana
Je, uko single? Hapana keshampata wake
Yuko wapi tujue? Ni mimi huoni twaendana


Nishike mkono kipenzi
Kwangu wewe ndo kila kitu
Na leo ndio siku yetu
We mzuri kwangu
Kwa wazazi, ukapita
Moyo wangu ukapitisha
Na pastor amekubali
Tufunge ndoa yetu


Ona twapendeza
Tukitembea pamoja
Tuimbe pamoja
Na tufurahi pamoja
Ona hata watu wote
Mekasanyika hapa
Kutuweka pamoja
Tuje tuishi pamoja


Uko single? Hapana nishampata wangu
Yuko wapi? Huoni mzuri twaendana
Uko single? Hapana keshampata wake
Yuko wapi, natuje leo? Ni mimi huoni twaendana
Je, uko single? Hapana nishampata wangu
Yuko wapi? Huoni mzuri twaendana
Je, uko single? Hapana keshampata wake
Yuko wapi tujue? Ni mimi huoni twaendana


Uko Single? Video

Uko Single? Lyrics -  Zabron Singers

Zabron Singers Songs

Related Songs