Ali Mukhwana - Ni kwa Neema Lyrics
Lyrics
Eeh ndugu yangu kuishi hapa duniani Sio kwa nguvu zako
(Still Alive)
Ni kwa neema (Neema) Ndiposa ninaishi, muumba mbingu na nchi Ni kwa neema (Neema tu) Si kwa nguvu zangu mi, ndiposa ninaishi
Ni kwa neema (Neema) Ndiposa ninaishi, sio kwa nguvu zangu Ni kwa neema yako(Neema tu) Si kwa nguvu zangu mimi
Ni wewe uliyenichagua Tena ukaniokoa Baba ukaniweka duniani
Sio kwamba nimetenda mema Au ninafaa sana Bwana nimekuweka moyoni
Natamani nikufahamu vyema Natamani Rabbi Nikujue nikufahamu nyema Nikujue jinsi ulivyo
Ni kwa neema (Neema) Ndiposa ninaishi, muumba mbingu na nchi Ni kwa neema (Neema tu) Si kwa nguvu zangu mimi
Ni kwa neema (Neema) Ndiposa ninaishi, sio kwa nguvu zangu Ni kwa neema yako(Neema tu) Si kwa nguvu zangu mimi
Yesu peleleza moyo wangu bwana Kama kuna njia iletayo majuto Peleleza moyo wangu bwana Bwana naomba nikupendeze
Peleleza moyo wangu bwana Kama kuna njia iletayo majuto Peleleza moyo wangu naomba Baba naomba nikupendeze
Maana umenichagua, mimi kukutumikia Nami najiachilia moyoni mwangu
Natamani nikufahamu vyema Natamani Rabbi Nikujue nikufahamu nyema Nikujue jinsi ulivyo
Ni kwa neema (Neema) Ndiposa ninaishi, muumba mbingu na nchi Ni kwa neema (Neema tu) Si kwa nguvu zangu mimi
Ni kwa neema (Neema) Ndiposa ninaishi, sio kwa nguvu zangu Ni kwa neema yako (Neema tu) Si kwa nguvu zangu mimi
Natamani nikufahamu vyema Natamani Rabbi Nikujue nikufahamu nyema Nikujue jinsi ulivyo
Ni kwa neema (Neema) Ndiposa ninaishi, muumba mbingu na nchi Ni kwa neema (Neema tu) Si kwa nguvu zangu mimi
Ni kwa neema (Neema) Ndiposa ninaishi, sio kwa nguvu zangu Ni kwa neema yako (Neema tu) Si kwa nguvu zangu mimi
Video
Ali Mukhwana - Ni Kwa Neema | Watakusema Album