Ali Mukhwana - Ni kwa Neema Lyrics

Album: Watakusema
Released: 18 Oct 2020
iTunes Amazon Music

Lyrics

Eeh ndugu yangu kuishi hapa duniani Sio kwa nguvu zako

(Still Alive)

Ni kwa neema (Neema) Ndiposa ninaishi, muumba mbingu na nchi Ni kwa neema (Neema tu) Si kwa nguvu zangu mi, ndiposa ninaishi

Ni kwa neema (Neema) Ndiposa ninaishi, sio kwa nguvu zangu Ni kwa neema yako(Neema tu) Si kwa nguvu zangu mimi 

Ni wewe uliyenichagua Tena ukaniokoa Baba ukaniweka duniani

Sio kwamba nimetenda mema  Au ninafaa sana  Bwana nimekuweka moyoni

Natamani nikufahamu vyema Natamani Rabbi Nikujue nikufahamu nyema Nikujue jinsi ulivyo

Ni kwa neema (Neema) Ndiposa ninaishi, muumba mbingu na nchi Ni kwa neema (Neema tu) Si kwa nguvu zangu mimi

Ni kwa neema (Neema) Ndiposa ninaishi, sio kwa nguvu zangu Ni kwa neema yako(Neema tu) Si kwa nguvu zangu mimi 

Yesu peleleza moyo wangu bwana Kama kuna njia iletayo majuto Peleleza moyo wangu bwana  Bwana naomba nikupendeze

Peleleza moyo wangu bwana Kama kuna njia iletayo majuto Peleleza moyo wangu naomba  Baba naomba nikupendeze

Maana umenichagua, mimi kukutumikia Nami najiachilia moyoni mwangu

Natamani nikufahamu vyema Natamani Rabbi Nikujue nikufahamu nyema Nikujue jinsi ulivyo

Ni kwa neema (Neema) Ndiposa ninaishi, muumba mbingu na nchi Ni kwa neema (Neema tu) Si kwa nguvu zangu mimi

Ni kwa neema (Neema) Ndiposa ninaishi, sio kwa nguvu zangu Ni kwa neema yako (Neema tu) Si kwa nguvu zangu mimi 

Natamani nikufahamu vyema Natamani Rabbi Nikujue nikufahamu nyema Nikujue jinsi ulivyo

Ni kwa neema (Neema) Ndiposa ninaishi, muumba mbingu na nchi Ni kwa neema (Neema tu) Si kwa nguvu zangu mimi

Ni kwa neema (Neema) Ndiposa ninaishi, sio kwa nguvu zangu Ni kwa neema yako (Neema tu) Si kwa nguvu zangu mimi 

Video

Ali Mukhwana - Ni Kwa Neema | Watakusema Album

Thumbnail for Ni kwa Neema video
Loading...
In Queue
View Lyrics