Ni wewe tu Bwana Lyrics - Solomon Shemanzi

Solomon Shemanzi swahili

Ni wewe tu Bwana Lyrics

Ni wewe tu Bwana, Ni wewe tu
Ni wewe tu Bwana ni wewe tu

Wewe ni mwanzo na mwisho Baba
Alpha Omega hilo ni Jina lako
Ushindi wako Baba ni wa milele
Nakuinua ninasema ni wewe Baba

Ni wewe tu Bwana, Ni wewe tu
Ni wewe tu Bwana ni wewe tu

Jua na mwezi zote zakuabudu
Samaki baharini hata na ndege wakwinua
waanasema niwewe, ni wewe Baba

Ni wewe tu Bwana, Ni wewe tu
Ni wewe tu Bwana ni wewe tu

Hakuna mshindi kama wewe
Hakuna kama wewe
Hakuna Mungu kama wewe
Hakuna kama wewe

Hakuna mponyaji kama wewe
Hakuna kama wewe x3




Ni wewe tu Bwana Video