Wahu Kagwi - Nifanane Nawe Lyrics

Nifanane Nawe Lyrics

Sishangai ulimwengu kupa sifa Jehovah eeh
Muumba wa vyote kwetu 
una manufaa zaidi, Baba aah

Unawaponya wagonjwa na wenye vifafa 
Vipofu na vilema 
Hata niwe na shida zenye utatata 
Miujiza unatenda 
Wacha nikuiite Yahweh 
Mfalme wa wafalme 
Hakuna kama wewe, uhimidiwe Bwana 

Oh moyo/Yahweh (Ninataka nifanane nawe) 
Wema wako (Ninataka nifanane nawe) 
Oh Yahweh (Ninataka nifanane nawe)

Wengine wanashindwa vumilia kwako 
Wanaenda kuchawiya kipato
Hawajui fahari ni wewe, utajiri wako wa milele
Mbinguni na duniani, oh Baba 

Unawaponya wagonjwa na wenye vifafa 
Vipofu na vilema 
Hata niwe na shida zenye utatata 
Miujiza unatenda 
Wacha nikuiite Yahweh 
Mfalme wa wafalme 
Hakuna kama wewe, uhimidiwe Bwana 

Oh moyo/Yahweh (Ninataka nifanane nawe) 
Wema wako (Ninataka nifanane nawe) 
Oh Yahweh (Ninataka nifanane nawe)

I want to be just like You (Ninataka nifanane nawe) 
To be like you (ninataka nifanane) 
Oh Yahweh (ninataka nifanane)


Nifanane Nawe Video

Nifanane Nawe Lyrics -  Wahu Kagwi

Wahu Kagwi Songs

Related Songs