Semeiyan - Nichukue Lyrics
Lyrics
Nichukue, nitengeneze Niwe chombo chako Bwana Nichukue, nifinyange Niwe chombo cha heshima
Hili ni ombi baba naomba, nimekosa Baba eeh, Makosa yangu hayahesabiki, sistahili Baba mbele zako, Na sasa Baba naja Hili ni ombi baba naomba, nimekosa Baba eeh, Makosa yangu hayahesabiki, sistahili Baba mbele zako, Na sasa Baba naja
Nichukue, nitengeneze Niwe chombo chako Bwana Nichukue, nifinyange Niwe chombo cha heshima
Kama vile Daudi aliomba, maombi yake Ukayasikia, Kama vile Paulo na Silah, waliomba Baba eeh Nakuomba Baba nisikie Kama vile Daudi aliomba, maombi yake Ukayasikia, Kama vile Paulo na Silah, waliomba Baba eeh Nakuomba Baba nisikie
Nichukue, nitengeneze Niwe chombo chako Bwana Nichukue, nifinyange Niwe chombo cha heshima
Moyo wangu wakutamani, njia zako kuzifuata Nitakase nikupendeze, Wewe ndiwe uhai wangu Damu yako Baba yanitosha Moyo wangu wakutamani, njia zako kuzifuata Nitakase nikupendeze, Wewe ndiwe uhai wangu Damu yako Baba yanitosha
Nichukue, nitengeneze Niwe chombo chako Bwana Nichukue, nifinyange Niwe chombo cha heshima
Nichukue, nitengeneze Niwe chombo chako Bwana Nichukue, nifinyange Niwe chombo cha heshima
Video
Nichukue - Semeiyan