Semeiyan - Nichukue Lyrics

Lyrics

Nichukue, nitengeneze Niwe chombo chako Bwana Nichukue, nifinyange Niwe chombo cha heshima

Hili ni ombi baba naomba, nimekosa Baba eeh, Makosa yangu hayahesabiki, sistahili Baba mbele zako, Na sasa Baba naja Hili ni ombi baba naomba, nimekosa Baba eeh, Makosa yangu hayahesabiki, sistahili Baba mbele zako, Na sasa Baba naja

Nichukue, nitengeneze Niwe chombo chako Bwana Nichukue, nifinyange Niwe chombo cha heshima

Kama vile Daudi aliomba, maombi yake Ukayasikia, Kama vile Paulo na Silah, waliomba Baba eeh Nakuomba Baba nisikie Kama vile Daudi aliomba, maombi yake Ukayasikia, Kama vile Paulo na Silah, waliomba Baba eeh Nakuomba Baba nisikie

Nichukue, nitengeneze Niwe chombo chako Bwana Nichukue, nifinyange Niwe chombo cha heshima

Moyo wangu wakutamani, njia zako kuzifuata Nitakase nikupendeze, Wewe ndiwe uhai wangu Damu yako Baba yanitosha Moyo wangu wakutamani, njia zako kuzifuata Nitakase nikupendeze, Wewe ndiwe uhai wangu Damu yako Baba yanitosha

Nichukue, nitengeneze Niwe chombo chako Bwana Nichukue, nifinyange Niwe chombo cha heshima

Nichukue, nitengeneze Niwe chombo chako Bwana Nichukue, nifinyange Niwe chombo cha heshima

Video

Nichukue - Semeiyan

Thumbnail for Nichukue video
Loading...
In Queue
View Lyrics