Ali Mukhwana - Nikuabudu Lyrics

Album: Watakusema
Released: 18 Oct 2020
iTunes Amazon Music

Lyrics

Hakuna Mungu mwingine  Kama na wewe Yesu Tunaliabudu jina lako mfalme

Sifa na maabudu, zote ni zako Sifa na maabudu, zote ni zako

Wewe ni zaidi ya mshindi Wewe ni zaidi ya mshindi Tangu enzi unaitwa Mungu Unaitwa Mungu mwema Ni nani mwingine aliye kama wewe Wewe bwana 

Sifa na maabudu, zote ni zako Sifa na maabudu, zote ni zako

Hakuna kama wewe Yesu Hakuna mwenye neema kama yako mfalme

Kwani mi ni nani unitunuku hivi baba (Unitunuku hivi baba) Umenipa uwezo wa kuona siku nyingine Umenipa uhai bwana  Mausia yako kaiweka sahihi

Sifa na maabudu, zote ni zako Sifa na maabudu, zote ni zako

Katika majaribu Ayubu alishinda Wana wa Israeli ukawashindania Na mimi najua utanishindania Yote unayopitia Mungu yuko pamoja na wewe

Kile nakuomba mpe sifa zote Kwako Yesu

Sifa na maabudu, zote ni zako Nakupa zote Sifa na maabudu, zote ni zako Nakupa zote bwana

Sifa na maabudu, zote ni zako Sifa na maabudu, zote ni zako Sifa na maabudu, zote ni zako Sifa na maabudu, zote ni zako

Video

Ali Mukhwana - Wastahili Sifa za Moyo Wangu (Lyric Video) SMS skiza 57010104 sent to 811

Thumbnail for Nikuabudu video
Loading...
In Queue
View Lyrics