Ali Mukhwana - Nikuabudu Lyrics
Lyrics
Hakuna Mungu mwingine Kama na wewe Yesu Tunaliabudu jina lako mfalme
Sifa na maabudu, zote ni zako Sifa na maabudu, zote ni zako
Wewe ni zaidi ya mshindi Wewe ni zaidi ya mshindi Tangu enzi unaitwa Mungu Unaitwa Mungu mwema Ni nani mwingine aliye kama wewe Wewe bwana
Sifa na maabudu, zote ni zako Sifa na maabudu, zote ni zako
Hakuna kama wewe Yesu Hakuna mwenye neema kama yako mfalme
Kwani mi ni nani unitunuku hivi baba (Unitunuku hivi baba) Umenipa uwezo wa kuona siku nyingine Umenipa uhai bwana Mausia yako kaiweka sahihi
Sifa na maabudu, zote ni zako Sifa na maabudu, zote ni zako
Katika majaribu Ayubu alishinda Wana wa Israeli ukawashindania Na mimi najua utanishindania Yote unayopitia Mungu yuko pamoja na wewe
Kile nakuomba mpe sifa zote Kwako Yesu
Sifa na maabudu, zote ni zako Nakupa zote Sifa na maabudu, zote ni zako Nakupa zote bwana
Sifa na maabudu, zote ni zako Sifa na maabudu, zote ni zako Sifa na maabudu, zote ni zako Sifa na maabudu, zote ni zako
Video
Ali Mukhwana - Wastahili Sifa za Moyo Wangu (Lyric Video) SMS skiza 57010104 sent to 811