Books
Chapters
Mwanzo
Kutoka
Mambo ya Walawi
Hesabu
Kumbukumbu la Torati
Yoshua
Waamuzi
Ruthu
1 Samweli
2 Samweli
1 Wafalme
2 Wafalme
1 Mambo ya Nyakati
2 Mambo ya Nyakati
Ezra
Nehemia
Esta
Ayabu
Zaburi
Mithali
Mhubiri
Wimbo Ulio Bora
Isaya
Yeremia
Maombolezo
Ezekieli
Danieli
Hosea
Yoeli
Amosi
Obadia
Yona
Mika
Nahumu
Habakuki
Sefania
Hagai
Zekaria
Malaki
Mathayo
Marko
Luka
Yohana
Matendo ya Mitume
Warumi
1 Wakorintho
2 Wakorintho
Wagalatia
Waefeso
Wafilipi
Wakolosai
1 Wathesalonike
2 Wathesalonike
1 Timotheo
2 Timotheo
Tito
Filemoni
Waebrania
Yakobo
1 Petro
2 Petro
1 Yohana
2 Yohana
3 Yohana
Yuda
Ufunuo wa Yohana
Zaburi 100 Swahili & English
Listen/Download AudioZaburi 100 (Swahili) | Psalms 100 (English) |
---|---|
Mfanyieni Bwana shangwe, dunia yote; Zaburi 100:1 |
> Shout for joy to Yahweh, all you lands! |
Mtumikieni Bwana kwa furaha; Njoni mbele zake kwa kuimba; Zaburi 100:2 |
Serve Yahweh with gladness. Come before his presence with singing. |
Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu; Ndiye aliyetuumba na sisi tu watu wake; Tu watu wake, na kondoo wa malisho yake. Zaburi 100:3 |
Know that Yahweh, he is God. It is he who has made us, and we are his. We are his people, and the sheep of his pasture. |
Ingieni malangoni mwake kwa kushukuru; Nyuani mwake kwa kusifu; Mshukuruni, lihimidini jina lake; Zaburi 100:4 |
Enter into his gates with thanksgiving, Into his courts with praise. Give thanks to him, and bless his name. |
Kwa kuwa Bwana ndiye mwema; Rehema zake ni za milele; Na uaminifu wake vizazi na vizazi. Zaburi 100:5 |
For Yahweh is good. His loving kindness endures forever, His faithfulness to all generations. |