1
Enyi watu wote, pigeni makofi, Mpigieni Mungu kelele kwa Sauti ya shangwe.
For the choirmaster. A Psalm of the sons of Korah. Clap your hands, all you peoples; shout unto God with a voice of triumph.
2
Kwa kuwa Bwana Aliye juu, mwenye kuogofya, Ndiye mfalme mkuu juu ya dunia yote.
How awesome is the LORD Most High, the great King over all the earth!
3
Atawatiisha watu wa nchi chini yetu, Na mataifa chini ya miguu yetu.
He subdues nations beneath us, and peoples under our feet.
4
Atatuchagulia urithi wetu, Fahari ya Yakobo ambaye alimpenda.
He chooses our inheritance for us, the pride of Jacob, whom He loves. Selah
5
Mungu amepaa kwa kelele za shangwe, Bwana kwa sauti ya baragumu.
God has ascended amid shouts of joy, the LORD with the sound of the horn.
6
Mwimbieni Mungu, naam, imbeni; Mwimbieni mfalme wetu, naam, imbeni.
Sing praises to God, sing praises; sing praises to our King, sing praises!
7
Maana Mungu ndiye mfalme wa dunia yote, Imbeni kwa akili.
For God is King of all the earth; sing to Him a psalm of praise.
8
Mungu awamiliki mataifa, Mungu ameketi katika kiti chake kitakatifu.
God reigns over the nations; God is seated on His holy throne.
9
Wakuu wa watu wamekusanyika, Wawe watu wa Mungu wa Ibrahimu. Maana ngao za dunia zina Mungu, Ametukuka sana.
The nobles of the nations have assembled as the people of the God of Abraham; for the shields of the earth belong to God; He is highly exalted.
Chagua Sura
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66
67
68
69
70
71
72
73
74
75
76
77
78
79
80
81
82
83
84
85
86
87
88
89
90
91
92
93
94
95
96
97
98
99
100
101
102
103
104
105
106
107
108
109
110
111
112
113
114
115
116
117
118
119
120
121
122
123
124
125
126
127
128
129
130
131
132
133
134
135
136
137
138
139
140
141
142
143
144
145
146
147
148
149
150