Zaburi BSB

Zaburi 47

Psalms Chapter 47

1
Enyi watu wote, pigeni makofi, Mpigieni Mungu kelele kwa Sauti ya shangwe.
For the choirmaster. A Psalm of the sons of Korah. Clap your hands, all you peoples; shout unto God with a voice of triumph.
2
Kwa kuwa Bwana Aliye juu, mwenye kuogofya, Ndiye mfalme mkuu juu ya dunia yote.
How awesome is the LORD Most High, the great King over all the earth!
3
Atawatiisha watu wa nchi chini yetu, Na mataifa chini ya miguu yetu.
He subdues nations beneath us, and peoples under our feet.
4
Atatuchagulia urithi wetu, Fahari ya Yakobo ambaye alimpenda.
He chooses our inheritance for us, the pride of Jacob, whom He loves. Selah
5
Mungu amepaa kwa kelele za shangwe, Bwana kwa sauti ya baragumu.
God has ascended amid shouts of joy, the LORD with the sound of the horn.
6
Mwimbieni Mungu, naam, imbeni; Mwimbieni mfalme wetu, naam, imbeni.
Sing praises to God, sing praises; sing praises to our King, sing praises!
7
Maana Mungu ndiye mfalme wa dunia yote, Imbeni kwa akili.
For God is King of all the earth; sing to Him a psalm of praise.
8
Mungu awamiliki mataifa, Mungu ameketi katika kiti chake kitakatifu.
God reigns over the nations; God is seated on His holy throne.
9
Wakuu wa watu wamekusanyika, Wawe watu wa Mungu wa Ibrahimu. Maana ngao za dunia zina Mungu, Ametukuka sana.
The nobles of the nations have assembled as the people of the God of Abraham; for the shields of the earth belong to God; He is highly exalted.

Chagua Sura