1
Haleluya. Enyi watumishi wa Bwana, sifuni, Lisifuni jina la Bwana.
Hallelujah! Give praise, O servants of the LORD; praise the name of the LORD.
2
Jina la Bwana lihimidiwe Tangu leo na hata milele.
Blessed be the name of the LORD both now and forevermore.
3
Toka maawio ya jua hata machweo yake Jina la Bwana husifiwa.
From where the sun rises to where it sets, the name of the LORD is praised.
4
Bwana ni mkuu juu ya mataifa yote, Na utukufu wake ni juu ya mbingu.
The LORD is exalted over all the nations, His glory above the heavens.
5
Ni nani aliye mfano wa Bwana, Mungu wetu aketiye juu;
Who is like the LORD our God, the One enthroned on high?
6
Anyenyekeaye kutazama, Mbinguni na duniani?
He humbles Himself to behold the heavens and the earth.
7
Humwinua mnyonge kutoka mavumbini, Na kumpandisha maskini kutoka jaani.
He raises the poor from the dust and lifts the needy from the dump
8
Amketishe pamoja na wakuu, Pamoja na wakuu wa watu wake.
to seat them with nobles, with the princes of His people.
9
Huweka nyumbani mwanamke aliye tasa, Awe mama ya watoto mwenye furaha.
He settles the barren woman in her home as a joyful mother to her children. Hallelujah!
Chagua Sura
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66
67
68
69
70
71
72
73
74
75
76
77
78
79
80
81
82
83
84
85
86
87
88
89
90
91
92
93
94
95
96
97
98
99
100
101
102
103
104
105
106
107
108
109
110
111
112
113
114
115
116
117
118
119
120
121
122
123
124
125
126
127
128
129
130
131
132
133
134
135
136
137
138
139
140
141
142
143
144
145
146
147
148
149
150