Zaburi 76 Swahili & English
Listen/Download AudioZaburi 76 (Swahili) | Psalms 76 (English) |
---|---|
Katika Yuda Mungu amejulikana, Katika Israeli jina lake ni kuu. Zaburi 76:1 |
> In Judah, God is known. His name is great in Israel. |
Kibanda chake pia kiko Salemu, Na maskani yake iko Sayuni. Zaburi 76:2 |
His tent is also in Salem; His dwelling place in Zion. |
Huko ndiko alikoivunja mishale ya uta, Ngao, na upanga, na zana za vita. Zaburi 76:3 |
There he broke the flaming arrows of the bow, The shield, and the sword, and the weapons of war. Selah. |
Wewe U mwenye fahari na adhama, Toka milima ya mateka. Zaburi 76:4 |
Glorious are you, and excellent, More than mountains of game. |
Wametekwa wenye moyo thabiti; Wamelala usingizi; Wala hawakuiona mikono yao Watu wote walio hodari. Zaburi 76:5 |
Valiant men lie plundered, They have slept their last sleep. None of the men of war can lift their hands. |
Kwa kukemea kwako, Ee Mungu wa Yakobo, Gari na farasi wameshikwa na usingizi mzito. Zaburi 76:6 |
At your rebuke, God of Jacob, Both chariot and horse are cast into a deep sleep. |
Wewe ndiwe utishaye, naam, Wewe; Naye ni nani awezaye kusimama ufanyapo hasira? Zaburi 76:7 |
You, even you, are to be feared. Who can stand in your sight when you are angry? |
Toka mbinguni ulitangaza hukumu; Nchi iliogopa, ikakaa kimya. Zaburi 76:8 |
You pronounced judgment from heaven. The earth feared, and was silent, |
Mungu aliposimama ili kuhukumu Na kuwaokoa wapole wa dunia wote pia. Zaburi 76:9 |
When God arose to judgment, To save all the afflicted ones of the earth. Selah. |
Maana hasira ya binadamu itakusifu, Masalio ya hasira utajifunga kama mshipi. Zaburi 76:10 |
Surely the wrath of man praises you. The survivors of your wrath are restrained. |
Wekeni nadhiri, mkaziondoe Kwa Bwana, Mungu wenu. Wote wanaomzunguka wamletee hedaya, Yeye astahiliye kuogopwa. Zaburi 76:11 |
Make vows to Yahweh your God, and fulfill them! Let all of his neighbors bring presents to him who is to be feared. |
Yeye huzikata roho za wakuu; Na kuwatisha wafalme wa dunia. Zaburi 76:12 |
He will cut off the spirit of princes. He is feared by the kings of the earth. |