Zaburi BSB

Zaburi 111

Psalms Chapter 111

1
Haleluya Nitamshukuru Bwana kwa moyo wangu wote,Barazani pa wanyofu wa moyo na katika mkutano.
Hallelujah! I will give thanks to the LORD with all my heart in the council of the upright and in the assembly.
2
Matendo ya Bwana ni makuu, Yafikiriwa sana na wapendezwao nayo.
Great are the works of the LORD; they are pondered by all who delight in them.
3
Kazi yake ni heshima na adhama, Na haki yake yakaa milele.
Splendid and majestic is His work; His righteousness endures forever.
4
Amefanya ukumbusho wa matendo yake ya ajabu; Bwana ni mwenye fadhili na rehema.
He has caused His wonders to be remembered; the LORD is gracious and compassionate.
5
Amewapa wamchao chakula; Atalikumbuka agano lake milele.
He provides food for those who fear Him; He remembers His covenant forever.
6
Amewajulisha watu wake uwezo wa matendo yake, Kwa kuwapa urithi wa mataifa.
He has shown His people the power of His works by giving them the inheritance of the nations.
7
Matendo ya mikono yake ni kweli na hukumu, Maagizo yake yote ni amini,
The works of His hands are truth and justice; all His precepts are trustworthy.
8
Yamethibitika milele na milele, Yamefanywa katika kweli na adili.
They are upheld forever and ever, enacted in truth and uprightness.
9
Amewapelekea watu wake ukombozi, Ameamuru agano lake liwe la milele, Jina lake ni takatifu la kuogopwa.
He has sent redemption to His people; He has ordained His covenant forever; holy and awesome is His name.
10
Kumcha Bwana ndio mwanzo wa hekima, Wote wafanyao hayo wana akili njema, Sifa zake zakaa milele.
The fear of the LORD is the beginning of wisdom; all who follow His precepts gain rich understanding. His praise endures forever!

Chagua Sura