Books
Chapters
Mwanzo
Kutoka
Mambo ya Walawi
Hesabu
Kumbukumbu la Torati
Yoshua
Waamuzi
Ruthu
1 Samweli
2 Samweli
1 Wafalme
2 Wafalme
1 Mambo ya Nyakati
2 Mambo ya Nyakati
Ezra
Nehemia
Esta
Ayabu
Zaburi
Mithali
Mhubiri
Wimbo Ulio Bora
Isaya
Yeremia
Maombolezo
Ezekieli
Danieli
Hosea
Yoeli
Amosi
Obadia
Yona
Mika
Nahumu
Habakuki
Sefania
Hagai
Zekaria
Malaki
Mathayo
Marko
Luka
Yohana
Matendo ya Mitume
Warumi
1 Wakorintho
2 Wakorintho
Wagalatia
Waefeso
Wafilipi
Wakolosai
1 Wathesalonike
2 Wathesalonike
1 Timotheo
2 Timotheo
Tito
Filemoni
Waebrania
Yakobo
1 Petro
2 Petro
1 Yohana
2 Yohana
3 Yohana
Yuda
Ufunuo wa Yohana
Zaburi 54 Swahili & English
Listen/Download AudioZaburi 54 (Swahili) | Psalms 54 (English) |
---|---|
Ee Mungu, kwa jina lako uniokoe, Na kwa uweza wako unifanyie hukumu. Zaburi 54:1 |
> Save me, God, by your name. Vindicate me in your might. |
Ee Mungu, uyasikie maombi yangu, Uyasikilize maneno ya kinywa changu. Zaburi 54:2 |
Hear my prayer, God. Listen to the words of my mouth. |
Kwa maana wageni wamenishambulia; Watu watishao wananitafuta nafsi yangu; Hawakumweka Mungu mbele yao. Zaburi 54:3 |
For strangers have risen up against me. Violent men have sought after my soul. They haven't set God before them. Selah. |
Tazama, Mungu ndiye anayenisaidia; Bwana ndiye anayenitegemeza nafsi yangu. Zaburi 54:4 |
Behold, God is my helper. The Lord is the one who sustains my soul. |
Atawarudishia adui zangu ubaya wao; Uwaangamize kwa uaminifu wako. Zaburi 54:5 |
He will repay the evil to my enemies. Destroy them in your truth. |
Kwa ukunjufu wa moyo nitakutolea dhabihu; Ee Bwana, nitalishukuru jina lako, maana ni jema. Zaburi 54:6 |
With a free will offering, I will sacrifice to you. I will give thanks to your name, Yahweh, for it is good. |
Kwa kuwa limeniokoa na kila taabu; Na jicho langu limeridhika Kwa kuwatazama adui zangu. Zaburi 54:7 |
For he has delivered me out of all trouble. My eye has seen triumph over my enemies. |