Zaburi 47

Psalms Chapter 47

Download Audio (Pakua)
« Orodha ya Sura
English Translation
1
Enyi watu wote, pigeni makofi, Mpigieni Mungu kelele kwa Sauti ya shangwe.
> Oh clap your hands, all you nations. Shout to God with the voice of triumph!
2
Kwa kuwa Bwana Aliye juu, mwenye kuogofya, Ndiye mfalme mkuu juu ya dunia yote.
For Yahweh Most High is awesome. He is a great King over all the earth.
3
Atawatiisha watu wa nchi chini yetu, Na mataifa chini ya miguu yetu.
He subdues nations under us, And peoples under our feet.
4
Atatuchagulia urithi wetu, Fahari ya Yakobo ambaye alimpenda.
He chooses our inheritance for us, The glory of Jacob whom he loved. Selah.
5
Mungu amepaa kwa kelele za shangwe, Bwana kwa sauti ya baragumu.
God has gone up with a shout, Yahweh with the sound of a trumpet.
6
Mwimbieni Mungu, naam, imbeni; Mwimbieni mfalme wetu, naam, imbeni.
Sing praise to God, sing praises. Sing praises to our King, sing praises.
7
Maana Mungu ndiye mfalme wa dunia yote, Imbeni kwa akili.
For God is the King of all the earth. Sing praises with understanding.
8
Mungu awamiliki mataifa, Mungu ameketi katika kiti chake kitakatifu.
God reigns over the nations. God sits on his holy throne.
9
Wakuu wa watu wamekusanyika, Wawe watu wa Mungu wa Ibrahimu. Maana ngao za dunia zina Mungu, Ametukuka sana.
The princes of the peoples are gathered together, The people of the God of Abraham. For the shields of the earth belong to God. He is greatly exalted!
« 46 48 »

Chagua Sura Nyingine (Select Chapter)