Zaburi 129

Psalms Chapter 129

Download Audio (Pakua)
« Orodha ya Sura
English Translation
1
Mara nyingi wamenitesa tangu ujana wangu, Israeli na aseme sasa,
> Many times they have afflicted me from my youth up. Let Israel now say,
2
Mara nyingi wamenitesa tangu ujana wangu, Lakini hawakuniweza.
Many times they have afflicted me from my youth up, Yet they have not prevailed against me.
3
Wakulima wamelima mgongoni mwangu, Wamefanya mirefu mifuo yao.
The plowers plowed on my back. They made their furrows long.
4
Bwana ndiye mwenye haki, Amezikata kamba zao wasio haki.
Yahweh is righteous. He has cut apart the cords of the wicked.
5
Na waaibishwe, warudishwe nyuma, Wote wanaoichukia Sayuni.
Let them be disappointed and turned backward, All those who hate Zion.
6
Na wawe kama majani ya darini Yanyaukayo kabla hayajamea.
Let them be as the grass on the housetops, Which withers before it grows up;
7
Ambayo mvunaji haujazi mkono wake, Wala mfunga miganda kifua chake.
With which the reaper doesn't fill his hand, Nor he who binds sheaves, his bosom.
8
Wala hawasemi wapitao, Amani ya Bwana ikae nanyi, Twawabariki kwa jina la Bwana.
Neither do those who go by say, "The blessing of Yahweh be on you. We bless you in the name of Yahweh."
« 128 130 »

Chagua Sura Nyingine (Select Chapter)